
Spread the love
Polisi waliwaondoa upinzani wakati wa kutangazwa matokeo baada ya kukataa kuyakubali matokeo hayo.
Mwenyekiti wa chama cha MDC Alliance, Nelson Chamisa amesema kuhesabiwa kwa kura hakukufanyiwa uhakiki.
Kwa ushindi wa asilimia 50 wa Mnangagwa umesababisha aepuke kwenda duru ya pili ya uchaguzi dhidi ya Chamisa.
Rais Mnangagwa amesema katika ukurasa wake wa Twitter kuwa huu ni mwamzo mpya.
https://twitter.com/edmnangagwa/status/1025155847691952129
More Stories
Dk. Mwinyi amteua Dk. Mkuya, Nassor Mazrui
Angola, Rwanda, DRC, Rwanda, Kenya zanufaika chanzo ya corona
Mrithi wa Maalim Seif ataja ‘kilichombeba’