GOGORO kubwa limeibuka kati ya ofisi ya Spika wa Bunge la Jamhuri kwa upande mmoja na familia ya aliyekuwa mbunge wa Buyungu, Mwalimu Kasuku...
By Mwandishi WetuMay 29, 2018Anaandika Tundu Lissu Sheria ya Uendeshaji wa Bunge, 2008, inasema Bunge litagharamia matibabu ya mbunge ndani na nje ya nchi. Aidha, Bunge litaweka...
By Mwandishi WetuMay 29, 2018MWALIMU Kasuku Bilago, mbunge wa Buyungu, wilayani Kakonko, mkoani Kigoma (Chadema), amefariki dunia. Anaripoti Saed Kubenea kutoka Dodoma…(endelea). Mwalimu Bilago amekutwa na mauti...
By Mwandishi WetuMay 26, 2018ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini amefichua siri nzito iliyijifichika katika ununuzi wa ndege mpya ya Dreamliner 787-8. Anaripoti Mwandushi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuMay 24, 2018BAADA ya kupiga kambi hapa wilayani Kakonko, kwa wiki mbili sasa, uchunguzi wangu umebaini pasipo shaka, kwamba, Idara ya Uhamiaji, Dar-Es-Salaam; imewatuma maafisa...
By Mwandishi WetuMay 23, 2018MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Moshi Vijijini, Anthony Bahati Komu, ametinga nchini Ubelgiji ili kumjulia hali mbunge mwenzake wa Singida Mashariki, Tundu Lissu....
By Mwandishi WetuMay 23, 2018MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Buyungu, mkoani Kigoma, Mwalimu Kasulu Bilango, yuko mahututi. Anasumbuliwa na tatizo la kujikunja kwa utumbo wake. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 22, 2018Tobina Emmanuel, ambaye ni Mkewe Emmanuel Kibiki yule mwandishi wa habari wa Iringa, Makambako, aliyevamiwa usiku wa manane hivi karibuni, amewaomba waandishi kusaidia...
By Mwandishi WetuMay 21, 2018MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, ameweka rehani mshahara wake wa mwezi huu, ikiwa Leo jioni wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wataweza...
By Mwandishi WetuMay 18, 2018MBUNGE wa Monduli (CHADEMA), Julius Karanga, ametuhumu serikali kuwanyonya wafugaji nchini na kusema, “wakati wengine (Chama Cha Mapinduzi), wakifikiri mifugo ni chakula, wao...
By Mwandishi WetuMay 17, 2018MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoa wa Iringa imekataa ombi la Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo la kukataa kuendelea usikilizwaji wa...
By Mwandishi WetuMay 16, 2018MBUNGE wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ameishika vibaya Serikari ya Rais John Magufuli kwa kuichambua bajeti ya Wizara ya Kilimo ambayo imeonyesha imekuwa...
By Mwandishi WetuMay 15, 2018MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imembadilishia kifungo Msanii wa Filamu, Elizabeth Micheal ‘Lulu’ kutoka kwenye kifungo cha Magereza na kutumikia kifungo...
By Mwandishi WetuMay 14, 2018MBUNGE wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea, amehoji hatua ya serikali ya kulipa mamlaka ya mwisho ya kupeleka mahujaji nchini Saudia, Baraza Kuu la...
By Mwandishi WetuMay 7, 2018MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimesababisha madhara makubwa katika baadhi ya maeneo, ikiwamo watu kupoteza maisha na kutokuwa na makazi....
By Mwandishi WetuMay 5, 2018HOTUBA YA KAIMU MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA (TEF), DEODATUS BALILE KATIKA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI (WPFD) ILIYOADHIMISHWA...
By Mwandishi WetuMay 3, 2018MKURUGENZI wa mashitaka ya jinai nchini (DPP), amemfutia mashitaka yaliyokuwa yanamkabili mahakamani, mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akiwasilisha...
By Mwandishi WetuMay 2, 2018WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema kuanzia Julai mwaka huu, serikali itasitisha uagizaji wa mita za luku ya umeme kutoka nje ya...
By Mwandishi WetuApril 30, 2018MWENYEKITI wa Mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo amepata tuzo kama mtetezi kijana chipukizi wa haki za binadamu (wanafunzi) Tanzania, tuzo aliyopewa...
By Mwandishi WetuApril 28, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Iringa kimemvua uanachama Dady Igogo aliyekuwa diwani wa Kata ya Gangilonga na Naibu Meya wa...
By Mwandishi WetuApril 28, 2018MDOGO wa Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche aitwaye Chacha Heche Suguta, adaiwa kuuwawa akiwa chini ya Jeshi la Polisi baada ya kukutwa...
By Mwandishi WetuApril 27, 2018JESHI la Polisi Mkoani Arusha limemkamata Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa kile kinachodaiwa “uchochezi” dhidi ya Rais kuhusiana na ndoto aliyowahi...
By Mwandishi WetuApril 27, 2018JULIUS Mtatiro, Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF ameandika ujumbe mzito wenye kufikirisha wengi juu ya msiba wa Agnes Gerrald “Masogange.’ Mtatiro...
By Mwandishi WetuApril 23, 2018MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Rombo, Joseph Selasini, naye ameanza kuonja “machungu ya utawala wa Rais John Magufuli.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuApril 22, 2018JANUARY Makamba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira ametoa madai mazito kwa chama chake, kuwa Chama cha Mapinduzi...
By Mwandishi WetuApril 16, 2018MBUNGE wa Bunda Mjini, Ester Bulaya (Chadema) ameshikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam (Central) kwa madai amebakishwa kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuApril 13, 2018TUNDU Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), muda huu atafanyiwa upasuaji mwingine katika mguu wake wa kulia, ikiwa ni mara ya 20 tangu alipoanza kutibiwa...
By Mwandishi WetuApril 11, 2018WANAMICHEZO nane wa Cameroon hawaonekani katika makazi yao katika michezo ya Jumuiya madola nchini Australia, maafisa wa timu hiyo wamethibitisha. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuApril 11, 2018MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amesema yupo tayari kujiuzuru ubunge wake kama itathibitika kuwa amemtelekeza mtoto kwa mwanamke mmoja jijini Dar...
By Mwandishi WetuApril 11, 2018MAHAKAMA ya Hakim Mkazi mkoani Dodoma imemuagiza naibu waziri wa utamaduni, Sanaa na michezo, Juliana Shonza, kufika mahakamani kwa “hiari kesho” Ijumaa, vinginevyo...
By Mwandishi WetuApril 5, 2018WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepata ajali ya gari jana usiku mkoani Morogoro wakati wakitokea Dodoma kuelekea Dar es...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2018WALE watoto wa Mzee Hashim Rungwe akiwemo mpwa wake wa kike, waliokuwa hawaonekani kwao, “wameachiwa.” Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rungwe, mfanyabiashara mkubwa...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2018KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wabunge na Madiwani wa chama hicho wanakutana kujadili sakata la Mwenyekiti na viongozi waandamizi...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2018KAMPUNI ya mafuta ya Moil, inadaiwa kuwa imeanza kuondoa biashara zake za uuzaji wa mafuta nchini na kuzihamishia katika nchi za Uganda na...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2018MWENYEKITI wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo ameachiwa kwa dhamana leo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2018MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, leo Jumapili amekutana na madiwani wa jimbo la Singida Mashariki, linaloongozwa na Tundu Lissu. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2018MAASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wametoa waraka mzito waliouta ‘Ujumbe wa Sikukuu ya Pasaka’ ambao utasomwa kesho katika makanisa...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2018MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ambaye pia ni Mbunge wa Hai, Freeman...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2018NDEGE ya shirika la ndege la taifa (ATC), iliyokuwa imetokea Dar es Salaam kuja Dodoma leo Jumatano, imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2018BADO hakijaeleweka. Wakati Mawakili wa Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC) na Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Daruso)...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2018NAMBARI ya simu ya mkononi ya Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), ambaye bado anashikiliwa na polisi jijini Dar es...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2018JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linamshikilia Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo kwa kosa la...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2018SPIKA wa Bunge la Jamhuri, amepanga upya Kamati za Bunge, kufuatia kumalizika kwa muda wa kamati za awali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2018SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefanya uteuzi wa wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2018RAIS wa Jamhuri, John Pombe Magufuli, ameonya wananchi wake wanaotaka kufanya maandamano ya amani kupinga utendaji wa serikali yake, kuwa watakabiliana na jeshi...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2018YANGA imerudi nafasi ya pili baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kagera Sugar jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2018MBUNGE wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, aliyeko kwenye matibabu nchini Ubelgiji, anaendelea kuimarika siku hadi siku. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2018MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa KCMC ameruhusiwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 5, 2018AFYA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe inazidi kuimalika baada ya kufikishwa kwenye hospitali na Rufaa ya KCMC...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2018MGOGORO mkubwa unafukuta kati ya serikali na viongozi wakuu wa madhehebu ya kiislamu mkoani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu. Mgogoro unatokana na hatua ya...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2018