Thursday , 9 May 2024
Home mwandishi
8828 Articles1248 Comments
KimataifaTangulizi

ZANU PF yamshinikiza Mugabe ajiuzulu

CHAMA tawala Zimbabwe ZANU PF kimemtaka Rais Robert Mugabe ajiuzulu, kauli hiyo imetolewa na viongozi wa matawi ya chama hicho katika majimbo yote...

Kimataifa

Undani wa kinachoendelea Zimbabwe huu hapa

KUMEKUWA na sintofahamu ya kile kinachoendelea nchini Zimbabwe huku kukiwa na taarifa tofauti ya mapinduzi yaliyofanyika nchini humo dhidi ya Rais Robert Mugabe...

Habari za SiasaTangulizi

Upinzani kupata pigo

WABUNGE wawili kutoka vyama vya CUF na Chadema, wako mbioni kuvihama vyama vyao, imeelezwa, anaandika Mwandishi Wetu. Taarifa kutoka kwa watu waliokaribu na...

Habari za Siasa

Dk. Kigwangwala akinukisha, atimua bosi wanyama pori

HALI ya mambo ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii siyo shwari na sasa Waziri wa wizara hiyo, Dk. Hamisi Kigwangalla amelazimika kumsimamisha...

Kimataifa

Uchaguzi Mkuu DR Congo sasa 2018

TUME ya Uchaguzi Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), imetangaza kwamba uchaguzi mkuu nchini humo sasa utafanyika Desemba 2018. Hata hivyo, upinzani...

Kimataifa

Waumini 26 wapigwa risasi kanisani Marekani

WATU 26 wameuawa kwa kupigwa risasi wakiwa kanisani na mtu mwenye silaha katika jimbo la Texas nchini Marekani walipokuwa katika ibada. Shambulio hilo...

Makala & Uchambuzi

Neno ‘uchochezi’ linavyotumika kuminya wapinzani

Na Rashid Abdallah KILA nyakati huwa na mbwembwe zake. Nyakati za sasa katika uwanja wa siasa nazo zinazo. Ni mbwembwe nyingi; vituko vingi;...

Habari za SiasaTangulizi

Nyalandu aitosa CCM, haridhishwi na serikali ya Magufuli

MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amejiuzulu nafasi hiyo na kujiondoa CCM kwa madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa siasa nchini, anaandika Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Meya Mwanza akamatwa asimwage mboga mbele ya Rais Magufuli

MEYA wa Jiji la Mwanza, James Bwire amekamatwa na jeshi la Polisi muda mchache kabla ya kutoa salamu zake kwa Rais John Magufuli...

Kimataifa

Makamu wa rais mpenda anasa atupwa jela

MAHAKAMA nchini Ufaransa imemhukumu makamu wa rais wa Equatorial Guinea, Teodorin Obiang kifungo cha miaka mitatu jela ambacho kimeahirishwa. Obiang 48, hufahamika sana...

Kimataifa

Rais Nkurunzinza aichomoa Burundi ICC

NCHI ya Burundi imekuwa ya kwanza kwa Afrika Mashariki kujiondoa uanachama katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Jinai (ICC). Serikali ya taifa...

Habari Mchanganyiko

Sura halisi ya Mwakyembe sasa inaonekana

Na Saed Kubenea DK. Harrison Mwakyembe, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ametoa amri ya kuzuia uchapishaji wa gazeti la Tanzania Daima, kwa...

Kimataifa

Rais Trump awachefua watangulizi wake

MARAIS wawili wa zamani nchini Marekani wameonyesha wasiwasi wao kuhusu hali ya kisiasa nchini humo bila kumtaja kiongozi wa sasa wa taifa hilo...

Kimataifa

Tume ya Uchaguzi Kenya yazidi kusambaratika.

OFISA Mkuu Mtendaji wa Tume ya Uchaguzi Nchini Kenya, Ezra Chiloba anatarajiwa kuchukuwa likizo ya wiki tatu na hatoshiriki katika uchaguzi wa marudio...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu kuanika wabaya wake

MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, anatarajiwa kuhutubia kupitia mkanda wa video utakaorushwa na vituo mbalimbali vya kimataifa vya televisheni, ndani ya...

Habari za SiasaTangulizi

Takukururu yamgeuzia kibao Mbunge Nassari

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida  Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemugeuzia kibao Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari  (Chadema)  ambaye...

Kimataifa

George Weah afanya kweli Liberia, aibuka mshindi urais

ALIYEWAHI kuwa mchezaji bora wa dunia, Georgr Weah ameibuka mshindi wa kiti cha urais nchini Liberia katika uchaguzi uliofanyika juzi. Weah amewahi kuichezea...

Michezo

Mtangazaji mpira azua kioja uwanjani

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Mtangazaji wa mpira nchini Urusi ameondoka uwanjani kabla mchezo haujaisha na kuwaacha watazamaji wakiangalia mechi hiyo bila maelezo....

Kimataifa

Rais Trump atishia kuangamiza vyombo vya habari

RAIS Donald Trump ametangaza vita na vyombo vya habari nchini mwake kwa madai kwamba vimekuwa vikikiuka taratibu na kuonyessha ama kuandika habari kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi waendeleza Sinema kuhusu Lissu

SASA inavyoonesha ni kama vile Jeshi la Polisi Tanzania (TPF) linafikiri watu kuzungumzia chochote kuhusu Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ni haramu...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamtaka IGP Sirro kufunga ‘domo’

CHAMA  cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema), kimemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini ( IGP),  Simon  Sirro kuacha kutoa vitisho kwa wananchi na...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Spika Ndugai amedanganya

Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, aweza kuwa hajasema ukweli kuhusu madai kuwa hamfahamu na wala hajawahi kumuona zaidi...

Makala & Uchambuzi

Ni lini Afrika itaonja siasa safi?

Na Rashid Abdallah NINAJIULIZA ni kwanini siasa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinaendelea kuwa za vilio, vitisho, mateso na hata vifo....

Kimataifa

NASA wajiondoa kwenye uchaguzi Kenya

MUUNGANO wa vyama vya Nasa umetangaza kujitoa rasmi katika uchaguzi mkuu wa Kenya uliopangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba mwaka huu, anaandika Mwandishi Wetu....

Michezo

Mashabiki wavamia nyumba ya mchezaji Zambia

POLISI nchini Zambia wamewakamata mashabiki watano kwa madai ya kuvamia nyumba ya mwanasoka wa timu ya taifa ya kandanda, Alex N’gonga. Mashabiki hao...

Kimataifa

Nani kuibuka mshindi Liberia leo?

WANANCHI nchini Liberia leo wanapiga kura kumchagua mrithi wa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa rais barani Afrika na mshindi wa tuzo la amani...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Kitila Mkumbo aonyesha rangi yake halisi

HATIMAYE Prof. Kitila Mkumbo, aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama Cha ACT Wazalendo, ameonyesha rangi yake halisi baada ya kutangaza rasmi kujiondoa katika...

Kimataifa

Waziri afariki akisaka hela za zahanati

WAZIRI wa Afya Nchini Tunisia amefariki kutokana na mshutuko wa moyo baada ya kushiriki katika mbio za kuchangisha fedha za kusaidia kupambana na...

Kimataifa

Rais Trump atembeza bakuli

RAIS wa Marekani, Donald Trump ameomba ufadhili kwa ajili ya ujenzi wa ukuta ili kusaidia kuwafukuza wahamiaji kutoka nchini Mexico. Mwezi uliopita alifuta...

Habari za Siasa

Ahadi ya Rais Magufuli, nyumba za Magomeni yaota mbawa

AGIZO  la Rais John Magufuli alilotoa mwaka jana la kujenga nyumba eneo la Magomeni Kota limegeuka kuwa ahadi hewa baada ya kazi hiyo...

Michezo

Mobetto amburuza mahakamani Diamond Platnum

NASEEB Abdul ‘Diamond Platnumz’ atakiwa kufika mahakamani Oktoba 30, 2017 kujibu malalamiko ya kushindwa kumuomba radhi mzazi mwenzake, Hamisa Mobetto na kushindwa kutoa...

Habari za Siasa

Kubenea amtaka Kamanda Sirro kujipima

MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, “kujipima” kutokana na kile alichoita, “kushidwa kutimiza...

Afya

WHO kutokomeza kipindupindu mwaka 2030

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limeeleza matumaini yake ya kupunguza kwa kiasi kikubwa maambukizi ya kipindupindu duniani sambamba na vifo vitokanavyo na ugonjwa...

Habari Mchanganyiko

Tanesco wamdharau Naibu Waziri Kalemani

SIKU moja baada ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Medadi Kalemani kupiga marufuku umeme kukatika katika jiji la Dar es Salaam, leo...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge, Serikali wasaka siri za Tundu Lissu

USIRI uliotanda kuhusu matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antipas Lissu, anayetibiwa nchini Kenya, unaitesa serikali na uongozi wa Bunge la Tanzania,...

Makala & Uchambuzi

Balozi Amina hamaanishi akisemacho au hasemi akimaanishacho

MWANZONI mwa wiki hii, Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko kwenye serikali ya Dk. Ali Mohamed Shein, Balozi Amina Salum Ali, aliliambia Baraza...

Makala & Uchambuzi

Mbunge: Nguvu ya umma imezidi Mazombi

KUFUMBA na kufumbua, Bwana Ali Juma Suleiman ametangulia mbele ya haki. La, bora niseme ametangulizwa mbele ya haki kwa kudhulumiwa na makundi ambayo...

Makala & Uchambuzi

Tunatafuta ‘suluhisho la mwisho?’

WALE wanaozielewa siasa za Marekani kwa sasa, watakubali namna mabadiliko yanavyoibadilisha dola hii yenye nguvu kubwa zaidi za kiuchumi na kijeshi, anaandika Rashid...

Habari Mchanganyiko

Chadema Morogoro  waangusha maombi kwa Lissu

UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kanda ya kati pamoja na uongozi wa Chadema mkoa wa Morogoro wameungana kufanya maombi ya...

Kimataifa

Marekani yasaka suluhu na Korea Kaskazini

WAZIRI wa Mambo  ya Nje wa Marekani, Rex Tillerson yuko mjini Beijing kufanya mazungumzo na viongozi wa China. Ajenda kuu katika mkutano huo...

Kimataifa

Amnesty International: Burundi si shwari

SHIRIKA la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa ripoti inayoonyesha hali ya usalama kutokuwa shwari nchini Burundi, anaandika Mwandishi...

Kimataifa

Sauti ya kiongozi wa IS yazusha taharuki

WANAMGAMBO wa Islamic State wametoa kanda ya sauti ya kiongozi wa kundi hilo, Abu Bakr al-Baghdadi, anaandika Mwandishi Wetu. Mzungumzaji aliye na sauti...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai apora gari la Mbowe

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Bunge la Tanzania limeamuru kurudishwa nchini gari linalosaidia kumhudumia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) aliyelazwa nchini...

Habari Mchanganyiko

UN watoa neno siku ya amani

UMOJA  wa Mataifa (UN),  ofisi za Tanzania umeitaka jamii kudumisha amani na kuhakikisha hapatokei migogoro ili kuenzi  siku ya leo ambayo dunia inaadhimisha...

Makala & Uchambuzi

Mahakama Kenya yazidi kuanika madudu ya Tume

NAIBU Jaji Mkuu wa Kenya Philomena Mwilu, amesema kitendo cha Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), kushindwa kufuata maagizo ya mahakama...

Habari za SiasaTangulizi

Sinema ya Kubenea kama ya Mbowe, Bulaya

SINEMA ya kukamatwa wabunge wa upinzani na kuwasafirisha kwa ndege wakiwa chini ya ulinzi mkali wa Polisi imejirudia leo  baada ya  Mbunge wa...

Habari za Siasa

Polisi wamdaka Mbunge Kubenea akiwa hospitali Dar 

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, polisi wenye silaha wamezingira hospitali  ya Agha Khan aliyokuwa ameenda kupata huduma ya matibabu, Mbunge wa Ubungo Saed...

Habari Mchanganyiko

Mbunge Joseph Musukuma na wenzake wapandishwa kizimbani

MBUNGE wa Geita Joseph Musukuma leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama Hakimu Mkazi Geita, kujibu tuhuma zake zinazomkabili, baada ya kushikiliwa na polsi tangu...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Kibamba waishika pabaya Serikali

KUPITIA bajeti  ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa miaka miwili mfululizo (2016/2017 na 2017/2018) serikali ilitazamiwa kutenga fedha kwa ajili ya ukamilishaji...

Habari za Siasa

CUF Tanga ‘yamla’ Mbaruku

MBUNGE wa jimbo la Tanga mjini na kiongozi mwandamizi katika Chama cha Wananchi (CUF), Mussa Bakari Mbaruku huenda akaingia matatizoni baada ya msimamo...

error: Content is protected !!