Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi wamdaka Mbunge Kubenea akiwa hospitali Dar 
Habari za Siasa

Polisi wamdaka Mbunge Kubenea akiwa hospitali Dar 

Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo
Spread the love

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, polisi wenye silaha wamezingira hospitali  ya Agha Khan aliyokuwa ameenda kupata huduma ya matibabu,

Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea na kumsubiri atibiwe kisha kuondoka naye.
Taarifa zinasema polisi hao wameelekea kituo cha Oysterbay jijini Dar es Salaam ingawa haijajulikana wanapompeleka na kwa kosa gani.

Wiki iliyopita Spika Job Ndugai aliviagiza vyombo vya dola kuwakamata Kubenea pamoja na Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe na kuwafikisha mbele ya Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama.

TUTAWAJUZA ZAIDI

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

error: Content is protected !!