Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa NASA wajiondoa kwenye uchaguzi Kenya
Kimataifa

NASA wajiondoa kwenye uchaguzi Kenya

Raila Odinga, aliyekuwa mgombea wa Muungano wa NASA
Spread the love

MUUNGANO wa vyama vya Nasa umetangaza kujitoa rasmi katika uchaguzi mkuu wa Kenya uliopangwa kufanyika tarehe 26 Oktoba mwaka huu, anaandika Mwandishi Wetu.

Uamuzi wa kujiondoa katika uchaguzi huo umetangazwa leo na Raila Odinga, mgombea urais wa muu ngano wa Nasa, kwa madai kuwa uchaguzi unaotarajia kufanyika mwishoni mwa Oktoba mwaka huu si halali.

Odinga amekishutumu chama cha Jubilee na Rais Uhuru Kenyatta kwa kuanzisha mchakato wa mabadiliko ya sheria za uchaguzi katika kipindi hiki amvbacho kampeni zinaendelea na kusema kuwa hatua hiyo inalenga kukibeba chama hicho katika utangazaji wa matokeo.

Wakati hayo yakiendelea, Rais Kenyatta ameendelea na mikutano yake ya kampeni katika kaunti ya Voi ambapo amewataka Wakenya wasiyumbishwe na Odinga na chama chake na badala yake waendelee kujiandaa na uchaguzi mkuu, Oktoba 26 mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

error: Content is protected !!