Friday , 29 September 2023
Home Habari Mchanganyiko UN watoa neno siku ya amani
Habari Mchanganyiko

UN watoa neno siku ya amani

Ofisa Habari wa UN, Stella Vuzo (wakwanza) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)
Spread the love

UMOJA  wa Mataifa (UN),  ofisi za Tanzania umeitaka jamii kudumisha amani na kuhakikisha hapatokei migogoro ili kuenzi  siku ya leo ambayo dunia inaadhimisha siku ya amani, anaandika Mwandishi Wetu.

Kauli hiyo imetolewa leo na Ofisa Habari wa UN, Stella Vuzo  na  kuongeza kuwa siku ya leo ni muhimu kwa jamii kwa kuwa inalenga kuelezea umuhimu wa kuwapo amani.

Amesema nchi nyingi duniani zinajaribu kuitafuta amani kwa muda mrefu japokuwa haijaipata na kwamba malengo Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni kuhakikisha kila mtu anaishi kwa amani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Stamico yafungua fursa za kiuchumi kwa makundi maalumu

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Maabara ya bilioni 5 upimaji madini yazinduliwa Geita, inapima kwa mionzi

Spread the loveZaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

Spread the loveZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana...

Habari Mchanganyiko

Makamba: China ni ya mfani kwa kupunguza umaskini

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January...

error: Content is protected !!