Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko UN watoa neno siku ya amani
Habari Mchanganyiko

UN watoa neno siku ya amani

Ofisa Habari wa UN, Stella Vuzo (wakwanza) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)
Spread the love

UMOJA  wa Mataifa (UN),  ofisi za Tanzania umeitaka jamii kudumisha amani na kuhakikisha hapatokei migogoro ili kuenzi  siku ya leo ambayo dunia inaadhimisha siku ya amani, anaandika Mwandishi Wetu.

Kauli hiyo imetolewa leo na Ofisa Habari wa UN, Stella Vuzo  na  kuongeza kuwa siku ya leo ni muhimu kwa jamii kwa kuwa inalenga kuelezea umuhimu wa kuwapo amani.

Amesema nchi nyingi duniani zinajaribu kuitafuta amani kwa muda mrefu japokuwa haijaipata na kwamba malengo Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ni kuhakikisha kila mtu anaishi kwa amani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!