Saturday , 27 April 2024
Home mwandishi
8728 Articles1246 Comments
Habari Mchanganyiko

Kubenea augua ghafla bungeni

HALI ya afya ya Mbunge wa jimbo la Ubungo Saed (Chadema) imebadilika ghafla na kulazimika kupewa mapumziko katika Zahanati ya Bunge kwa ajili...

Habari za Siasa

Mbunge Kubenea asema Bunge limemtelekeza Lissu

MBUNGE wa Ubungo,  Saed Kubenea  (Chadema) amesema Bunge  chini ya uongozi wa Spika Job Ndugai limekataa kugharamia matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki,...

Habari MchanganyikoTangulizi

‘Watu wasiojulikana’ wamuibua  Mkuu wa Majeshi

SAKATA la uvamizi na kupigwa risasi na watu wasiojulikana limemuibua Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Venance Mabeyo ambaye amesema vyombo vya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maalim Seif aililia amani

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesihi Rais John Magufuli aitishe kikao cha dharura kitakachoshirikisha watendaji mahsusi wa...

Habari za Siasa

Kauli ya Lissu siku 20 zilizopita kabla ya kupigwa risasi

TUNDU Lissu Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), kabla ya kupigwa risasi leo alitoa tahadhari kwamba anafuatiliwa na watu aliodai kwamba wanatoka usalama wa...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu apigwa risasi Dodoma, viongozi wanena

NI taharuki, vilio na simanzi katika hospitali ya mkoa wa Dodoma, baada ya Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na MBunge wa Singida...

Habari za SiasaTangulizi

Pigo lingine kwa Manji, avuliwa Udiwani

YUSUF Manji, diwani wa CCM katika Kata ya Mbagara, amevuliwa udiwani kutokana na kushindwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo bila sababu za msingi, anaandika...

Makala & Uchambuzi

Odinga na Kenyatta kuzipiga tena Oktoba 17 

WAFULA Chebukati, Mwenyekiti  wa  Tume ya Uchaguzi ya Kenya (IEBC), ametangaza tarehe mpya ya kurudia uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 17 Oktoba 2017, anaandika...

Makala & Uchambuzi

Odinga pasua kichwa Kenya, agoma kushiriki uchaguzi marudio

KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametangaza kuwa hayuko tayari kushiriki marudio ya uchaguzi mkuu wa urais nchini humo.abla ya kufanyika uchaguzi,...

Habari za SiasaTangulizi

Mradi wa kuuvuruga Ukawa waiva

MBUNGE wa Kaliua, Magdalena Sakaya, ametoa mwaliko kwa wabunge wote wa Chama Cha Mapinduzi, kuhudhuria tafrija na sherehe kubwa ya kuapishwa wabunge saba...

Habari Mchanganyiko

BoT yakumbushwa kudhibiti fedha haramu

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imetakiwa kufuata muongozo wa fedha unaokubalika ili kudhibiti fedha haramu zisiingie katika mzunguko halali, anaandika Mwandishi Wetu. Aidha,...

Kimataifa

Kamera ya kupiga picha ndani ya mwili wa binadamu yagunduliwa

WANASAYANSI nchini Uingereza wamegundua kamera yenye uwezo ya kupiga picha viungo vya ndani ya mwili wa binadamu, anaandika Mwandishi Wetu. Kifaa hicho kimeundwa...

Kimataifa

Korea Kusini yaijaribu Korea Kaskazini

KOREA Kusini inasema kuwa kuna dalili kuwa Korea Kaskazini inapanga majaribio zaidi ya makombora yanayokwenda masafa marefu, anaandika Mwandishi Wetu. Maofisa wa ulinzi...

Makala & Uchambuzi

Rais Uhuru Kenyatta ageuka ‘mbogo’ Kenya

RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa taifa hilo lina ‘matatizo’ na idara ya mahakama ambayo inahitaji marekebisho, anaandika Mwandishi Wetu. Alikuwa akizungumza...

Habari za Siasa

Wapinzani kukamatwa Tanzania imekuwa kawaida:  Jenerali Ulimwengu

SI ajabu hivi sasa nchini Tanzania kukamatwa viongozi wa upinzani kwa tuhuma za makosa yasiyokuwemo katika vitabu vya sheria na imeanza kuzoeleka kwao...

Makala & UchambuziTangulizi

Freeman Mbowe afunguka uchaguzi Kenya

MWENYEKITI  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amefunguka na kumsifu Rais Uhuru Kenyatta kuwa mvumilivu na kuheshimu Wakenya baada ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mawakili wamtosa Lissu Dar

SAKATA la Mawakili binafsi kutakiwa kugoma kufanya kazi leo limetibuka baada ya kubainika baada ya baadhi yao wamekaidi agizo la Rais wa Chama...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema atinga uraiani

HATIMAYE mbunge wa Bunda (Chadema), Ester Bulaya amepata dhamana baada ya kushikiliwa na Polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya kwa amri ya...

Habari Mchanganyiko

Asilimia 75 makazi Dar ni holela

SERIKALI imesema asilimia 75 ya wananchi jijini Dar es Salaam wamejenga katika maeneo holela ambayo hajapimwa, anaandika Mwandishi wetu. Hayo yamesemwa na Waziri...

Habari Mchanganyiko

Watalaam wakuna vichwa usugu wa dawa

CHAMA cha Wafamasia nchini (PST), kimeiomba serikali kusaidiana nacho ili kuhakikisha wanatokomeza tatizo la usugu wa dawa za binadamu, anaandika Mwandishi wetu. PST...

Makala & Uchambuzi

Kenyatta “Baba” wa demokrasia Afrika Mashariki

WAPINZANI nchini Kenya, wakiongozwa na Raila Odinga wa chama cha ODM na muungano wa NASA, wamekuwa wakipewa haki zote za kisiasa na za...

Habari za Siasa

Kubenea ateta na Bawacha

MBUNGE wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea, amewataka viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chdema (Bawacha), jimbo la Ubungo, kukitetea na kulinda chama...

Makala & Uchambuzi

Wakenya waishio nje wapigakura kuchagua Rais

DEMOKRASIA imejidhihirisha nchini Kenya baada ya Wakenya wanaoishi nje ya nchi hiyo kupiga kura huko huko wanapoishi katika uchaguzi unaofanyika leo, anaandika Mwandishi...

Makala & Uchambuzi

Wafungwa wapiga kura nchini Kenya

KENYA imeweka rekodi katika uchaguzi mkuu mwaka huu, baada ya Tume ya Uchaguzi, kuruhusu watu waliofungwa gerezani pamoja na wale waliopo rumande kupewa...

Habari Mchanganyiko

Watanzania wapewa somo hati ya kusafiria

IDARA ya Uhamiaji imesema hati ya kusafiria ni haki ya kila Mtanzania ambaye anakidhi vigezo vya kuimiliki na inatolewa na serikali siyo matapeli...

Kimataifa

Majeshi ya nchi 7 kuonyesha umahiri Tanga

MAJESHI ya nchi saba za Jumuiya ya Maendeleo  ya  Afrika (SADC), yameanza mazoezi ya kijeshi yenye lengo la kujiandaa na tishio la mashambulizi ya...

Makala & UchambuziTangulizi

Odinga na Kenyatta waahidi amani

WAGOMBEA wa urais wawili wenye nguvu nchini Kenya, Raila Odinga (NASA) na Uhuru Kenyatta (Jubilee), leo wamepiga kura katika uchaguzi mkuu nchini humo...

Habari Mchanganyiko

Taasisi za fedha Kilimanjaro zalia ”ukata”

WADAU wa taasisi za fedha mkoani Kilimanjaro, wameeleza kuwa changamoto ya mabadiliko ya kiuchumi imewasababishia wakose faida katika kipindi cha kuanzia mwaka jana,...

Habari Mchanganyiko

Mviwata waililia serikali ya JPM

MTANDAO wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (Mviwata), umeazimia kuishauri Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Uvuvi kutowatoza gharama wakulima wanaoshirikia maonesho ya...

Habari za Siasa

Chadema yaibuka mshindi nafasi makamu mwenyekiti

MWENYEKITI wa Kitongoji cha Namayani wilayani Arumeru, Elias Mollel (Chadema),  ameibuka mshindi wa nafasi ya makamu mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa...

Habari Mchanganyiko

Makinda aipigia debe serikali ya JPM kanisani

MWENYEKITI wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Anne Makinda, amewataka Watanzania kutorubuniwa na baadhi ya wanasiasa kuwa hali...

Habari za Siasa

RPC achaguliwa uenyekiti CCM

ALIYEWAHI kuwa Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kilimanjaro, Absolom Mwakyoma ‘ameukwaa’ Uenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Mfumuni, Manispaa...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yatangaza kushiba chakula

SERIKALI  imesema kuwa Taifa kwa sasa linajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 120 kulingana na tathmini iliyofanyika mwaka huu, anaandika Mwandishi wetu. Kauli hiyo...

Habari Mchanganyiko

Shule binafsi zalia na serikali  

SERIKALI imeombwa kuwasaidia wamiliki wa shule binafsi mkoani Dodoma kupatiwa mikopo kupitia mifuko ya hifadhi ya jamii ili shule zao ziweze kuchukua wanafunzi...

Habari za Siasa

Kubenea azidi kuchanja mbuga, mtaa kwa mtaa

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), leo ameendelea na ziara yake ya kukagua uhai wa chama chake na kutembelea wananchi wake katika jimbo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yawapigia debe maskini Kahama

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Albert Msovela amewataka wananchi wa kijiji cha Iyenze kata Iyenze  wilayani  Kahama mkoani Shinyanga kuhakikisha wanawasaidia wanzeo...

Afya

Kigwangalla atoa siku 90 kuboreshwa chumba cha upasuaji 

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto Dk. Hamis Kigwangala ametoa miezi mitatu  kwa halmashauri ya mji wa Kahama...

Habari Mchanganyiko

Lugha ya Kichina yasababisha mgomo kampuni ya ujenzi

MGOMO wa wafanyakazi zaidi ya 290 wa Kampuni ya Kimataifa ya Geo Engineering ya China inayotekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa barabara ya...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji madini wapewa somo

WACHIMBAJI wadogo wa madini wametakiwa kuzingatia taratibu za kitalaam wakati wa uchimbaji ili kuepuka ajali  maeneo hayo, anaandika Mwandishi wetu. Haya yamebainishwa na...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waanza kuelewa somo

MADEREVA wa Bodaboda katika jiji la Dar es Salaam wameonekana kuanza kuelewa umuhimu wa matumizi wa kofia ngumu wakati wa kuendesha usafiri huo,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yafichua siri nzito kukabiliana na Magufuli

HATIMAYE Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefichua siri nzito kwamba kina program maalum kwa ajili ya kupambana na kandamizaji wa demokrasia unaofanywa...

Habari za Siasa

Madini yampaisha Rais John Magufuli

WAJUMBE wa kamati ya kuratibu rasilimali ya madini kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu wamepongeza Rais Dk John Magufuli kwa jitihada anazofanya...

Habari za Siasa

Wagombea CCM watishiwa nyau Dodoma

MCHAKATO wa kumpata Naibu Meya wa Manispaa ya Dodoma ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umeanza huku wagombea waliojitokeza katika kinyang’anyiro hicho wakionywa...

Habari Mchanganyiko

Jiji la Arusha yafikia asilimia 60 makusanyo

HALMASHAURI ya jiji la Arusha imekusanya asilimia 60 ya mapato yatokanayo na miradi ya ndani ya maendeleo kwa kipindi cha bajeti ya mwaka...

Habari Mchanganyiko

Kaya 700 Monduli kunufaika na maji

KAYA zipatazo 700 za Kitongoji cha Irmorijo katika Kijiji cha Emairete wilayani Monduli zilizokuwa zinatumia maji ya bwawa zinatarajia kunufaika na mradi wa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mavunde awatua ndoo wananchi Mhande

MKUU wa Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mndeme amezindua mradi wa maji katika kijiji cha Mhande huku akiwaonya watakaoharibu miundombinu ya mradi huo...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa apigia debe uwekezaji nchini

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha kampuni ya SBC Tanzania Ltd kinachotengeneza vinywaji baridi pamoja na kiwanda cha kukata na kung’arisha mawe...

Habari za Siasa

Wajumbe wamtibua mwenyekiti wa CCM Katavi

MWENYEKITI wa CCM wa Mkoa wa Katavi anayemaliza muda wake mwaka huu, Mselemu Abdallah ameandika barua ya kujiondoa dakika za mwisho madai kuwa...

Habari Mchanganyiko

Familia zatengwa na kijiji cha Mureru

FAMILIA mbili za Kijiji cha Mureru, Kata ya Lalaji, wilayani Hanang’ zimedasi kuishi kwa kuhofia maisha yao baada ya kutengwa na jamii kijijini...

Habari Mchanganyiko

Maambukizi ya VVU yapiga kambi kwa wanandoa

WATU waliofunga ndoa na kuunganika kuwa kama mwili mmoja na kuepukana na masuala ya kufanya ngono zembe, imebainishwa wao kwa sasa ndio wamekuwa...

error: Content is protected !!