Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Asilimia 75 makazi Dar ni holela
Habari Mchanganyiko

Asilimia 75 makazi Dar ni holela

William Lukuvi, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Spread the love

SERIKALI imesema asilimia 75 ya wananchi jijini Dar es Salaam wamejenga katika maeneo holela ambayo hajapimwa, anaandika Mwandishi wetu.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na kwamba zoezi la upimaji ardhi litafanyika nchi nzima.

Amesema hadi kufikia mwaka 2020 wawe wamemaliza zoezi la kurasimisha ardhi kwa wananchi na kuwapatia hati.

Lukuvi amesema kilaa kipande cha ardhi kitapimwa na kwamba hakuna mtu atakayemiliki sehemu ambayo haijapimwa.

Waziri huyo alikuwa akizungumza katika kituo cha Luninga cha Azam na amesema wameanza kupima katika mkoa wa Morogoro.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!