Wednesday , 27 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Asilimia 75 makazi Dar ni holela
Habari Mchanganyiko

Asilimia 75 makazi Dar ni holela

William Lukuvi, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Spread the love

SERIKALI imesema asilimia 75 ya wananchi jijini Dar es Salaam wamejenga katika maeneo holela ambayo hajapimwa, anaandika Mwandishi wetu.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na kwamba zoezi la upimaji ardhi litafanyika nchi nzima.

Amesema hadi kufikia mwaka 2020 wawe wamemaliza zoezi la kurasimisha ardhi kwa wananchi na kuwapatia hati.

Lukuvi amesema kilaa kipande cha ardhi kitapimwa na kwamba hakuna mtu atakayemiliki sehemu ambayo haijapimwa.

Waziri huyo alikuwa akizungumza katika kituo cha Luninga cha Azam na amesema wameanza kupima katika mkoa wa Morogoro.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya madini kurusha ndege ya utafiti wa madini Geita

Spread the loveKutokana na mchango wa wachimbaji wadogo wa madini kwenye pato...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza kampuni za madini kuzingatia utunzaji mazingira, azitaka zijifunze kwa GGML

Spread the loveWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia apewa tano ujenzi barabara Mtwara

Spread the loveWANANCHI wa Mkoa wa Mtwara, wameishukuru Serikali ya Rais Dk....

error: Content is protected !!