Thursday , 18 April 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Wafungwa wapiga kura nchini Kenya
Makala & Uchambuzi

Wafungwa wapiga kura nchini Kenya

Wafungwa Kenya
Spread the love

KENYA imeweka rekodi katika uchaguzi mkuu mwaka huu, baada ya Tume ya Uchaguzi, kuruhusu watu waliofungwa gerezani pamoja na wale waliopo rumande kupewa nafasi ya kupiga kura, anaandika Mwandishi Wetu.

Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi nchini Kenya, leo asubuhi umewekwa utaratibu ambao umewawezesha wafungwa kupiga kura kama watu wengine.

Leo kuanzia asubuhi wananchi wa Kenya walijitokeza kupiga kura katika vituo mbalimbali huku wagombea nane wakichuana katika nafasi ya urais.

Wagombea urais wanaochuana kwa karibu ni Rais Odinga wa (NASA) na Uhuru Kenyatta wa (Jubilee).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaMakala & Uchambuzi

Kanda ya Ziwa yaonyesha NMB inavyosaidia afya ya mama na mtoto

Spread the loveMafanikio inayozidi kupata Tanzania katika kupunguza vifo vya mama na...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

‘Mwanapekee’ wa Rais Samia: Atabadili nini Arusha?

Spread the loveMAPEMA wiki hii, baadhi ya viongozi walioapishwa na Rais Samia...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kipunguni waihoji serikali, ziko wapi fedha za fidia?

Spread the loveWATU wanaodai kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni sikivu,...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Askofu Bagonza: Tusichonganishwe; tusichokozane na tusikufuru

Spread the loveJOTO la chaguzi linapanda kila siku hapa nchini. Upo umuhimu...

error: Content is protected !!