Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mawakili wamtosa Lissu Dar
Habari MchanganyikoTangulizi

Mawakili wamtosa Lissu Dar

Spread the love

SAKATA la Mawakili binafsi kutakiwa kugoma kufanya kazi leo limetibuka baada ya kubainika baada ya baadhi yao wamekaidi agizo la Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Tundu Lissu la kuwataka wanasheria hao kugoma, anaandika Mwandishi wetu.

Mwishoni mwa  wiki Lissu aliwataka Mawakili kugoma kufanya kazi zao kama namna ya kupinga tukio la ulipuliwaji wa Ofisi ya Mawakili wa IMMMA ya jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, MwanaHALISI Online leo imeshuhudia Mawakili hao wakiendelea na kazi zao kama kawaida katika mahakama mbalimbali jijini Dar es Salaam.

Wakili Alibart Msando amesema ameshindwa kugoma kwa kuwa leo tayari alikuwa amechukua kazi za watu ambao wamemlipa fedha.

” Kuna kesi ambazo huwezi kuziepuka kuna watu wana kesi  muhimu na wengine wana mali zao wanataka ziuzwe na kama nisingetokea kesi ingeweza kufutwa,” amesema

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!