Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Kubenea augua ghafla bungeni
Habari Mchanganyiko

Kubenea augua ghafla bungeni

Spread the love

HALI ya afya ya Mbunge wa jimbo la Ubungo Saed (Chadema) imebadilika ghafla na kulazimika kupewa mapumziko katika Zahanati ya Bunge kwa ajili ya uangalizi.

Kwa mujibu wa Dk. Noel Salomon, aliyempokea mbunge huyo, Kubenea alifika hopsitalini hapo majira ya saa kumi jioni jana na kupumzishwa .

Dk.Solomon amesema alipatiwa kitanda kwa ajili ya mapumziko ili baadaye apatiwe matibabu.

Jana Kubenea alikuwepo bungeni kuanzia majira ya asubuhi na alikuwa ameishafika katika Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge kwa ajili ya mahojiano kama alivyoagiza Spika wa Bunge, Job Ndugai.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!