Monday , 29 May 2023
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Wakenya waishio nje wapigakura kuchagua Rais
Makala & Uchambuzi

Wakenya waishio nje wapigakura kuchagua Rais

Wafula Chebukati, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kenya (IEBC)
Spread the love

DEMOKRASIA imejidhihirisha nchini Kenya baada ya Wakenya wanaoishi nje ya nchi hiyo kupiga kura huko huko wanapoishi katika uchaguzi unaofanyika leo, anaandika Mwandishi Wetu.

Katika nchi mbalimbali umeandaliwa utaratibu ambao leo umewezesha wananchi wa Kenya kupiga kura wakiwa nje ya nchi yao.

Uchaguzi huu unawakutanisha wanasiasa wanaotambiana katika siasa za Kenya, Rais Odinga (Nasa) na Uhuru Kenyatta (Jubilee).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nimekomaa zaidi kisiasa katika miaka 9 ya ACT Wazalendo

Spread the love  LEO tarehe 5 Mei, ni ACT Dei. Ni siku...

Makala & Uchambuzi

Ulinzi hifadhi za Taifa uwe wa kila mtu

Spread the loveUJANGILI wa wanyamapori bado ni tatizo kubwa katika hifadhi za...

Makala & Uchambuzi

Miradi inayofadhiliwa na GGML inavyoleta mageuzi ya kiuchumi Geita

Spread the loveTANGU kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni...

Makala & Uchambuzi

Ripoti CAG; Hii ndio sababu REA kujiendesha kwa hasara

Spread the loveUKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA). CAG...

error: Content is protected !!