
Wafula Chebukati, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kenya (IEBC)
DEMOKRASIA imejidhihirisha nchini Kenya baada ya Wakenya wanaoishi nje ya nchi hiyo kupiga kura huko huko wanapoishi katika uchaguzi unaofanyika leo, anaandika Mwandishi Wetu.
Katika nchi mbalimbali umeandaliwa utaratibu ambao leo umewezesha wananchi wa Kenya kupiga kura wakiwa nje ya nchi yao.
Uchaguzi huu unawakutanisha wanasiasa wanaotambiana katika siasa za Kenya, Rais Odinga (Nasa) na Uhuru Kenyatta (Jubilee).
More Stories
Namna Ruto alivyomshinda Odinga uchaguzi mkuu Kenya
Dk. Kahangwa: Hi ndio tofauti kati ya uchaguzi wa Kenya, Tanzania
FUATILIA MOJA KWA MOJA MATOKEO UCHAGUZI MKUU KENYA HAPA