Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Wakenya waishio nje wapigakura kuchagua Rais
Makala & Uchambuzi

Wakenya waishio nje wapigakura kuchagua Rais

Wafula Chebukati, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kenya (IEBC)
Spread the love

DEMOKRASIA imejidhihirisha nchini Kenya baada ya Wakenya wanaoishi nje ya nchi hiyo kupiga kura huko huko wanapoishi katika uchaguzi unaofanyika leo, anaandika Mwandishi Wetu.

Katika nchi mbalimbali umeandaliwa utaratibu ambao leo umewezesha wananchi wa Kenya kupiga kura wakiwa nje ya nchi yao.

Uchaguzi huu unawakutanisha wanasiasa wanaotambiana katika siasa za Kenya, Rais Odinga (Nasa) na Uhuru Kenyatta (Jubilee).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaMakala & Uchambuzi

Kanda ya Ziwa yaonyesha NMB inavyosaidia afya ya mama na mtoto

Spread the loveMafanikio inayozidi kupata Tanzania katika kupunguza vifo vya mama na...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

‘Mwanapekee’ wa Rais Samia: Atabadili nini Arusha?

Spread the loveMAPEMA wiki hii, baadhi ya viongozi walioapishwa na Rais Samia...

Habari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kipunguni waihoji serikali, ziko wapi fedha za fidia?

Spread the loveWATU wanaodai kwamba serikali ya Chama Cha Mapinduzi ni sikivu,...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Askofu Bagonza: Tusichonganishwe; tusichokozane na tusikufuru

Spread the loveJOTO la chaguzi linapanda kila siku hapa nchini. Upo umuhimu...

error: Content is protected !!