Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Maisha Afya Kigwangalla atoa siku 90 kuboreshwa chumba cha upasuaji 
Afya

Kigwangalla atoa siku 90 kuboreshwa chumba cha upasuaji 

Dk.Hamisi Kigwangalla, waziri wa Maliasili na Utalii
Spread the love

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto Dk. Hamis Kigwangala ametoa miezi mitatu  kwa halmashauri ya mji wa Kahama kuhakikisha inafanya ukarabati wa chumba cha upasuaji katika hospitali ya mji wa  Kahama, anaandika Mwandishi Wetu

Ametoa agizo hilo wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kutembelea baadhi ya sehemu zinazotoa huduma za afya.

Akiwa hospitalini hapo Dk.  Kigwangala  amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Kahama, Anderson Msumba kuhakikisha  anasimamia kazi hiyo kwa weledi ili  liweze kufanikiwa.

Pia amemtaka Mkurugenzi kuhakikisha anafanya marekebisho katika chumba cha kujifungulia akina mama wajawazito.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari

Ugonjwa wa ajabu ulioua watano Bukoka ni Marburg

Spread the loveWAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa ajabu uliosababisha...

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

Spread the loveJUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya...

Afya

LHRC yapinga kufutwa Toto Afya: Ni ukiukaji wa sheria za watoto

Spread the love  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekosoa...

Afya

Manesi 7 mbaroni tuhuma za kuwauzia dawa wagonjwa usiku wa manane

Spread the love  JUMLA ya wauguzi/manesi saba wa Hospitali ya Manispaa ya...

error: Content is protected !!