Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Spika Ndugai apasua vichwa wabunge
Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai apasua vichwa wabunge

Spread the love

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, amepanga upya Kamati za Bunge, kufuatia kumalizika kwa muda wa kamati za awali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Katika mabadiliko hayo, wabunge kadhaa wamehamishwa kwenye kamati walizokuwa awali na kuhamishiwa kwenye kamati nyingine.

Miongoni mwa walioathirika na hamisha hiyo, ni pamoja na mbunge wa Muhenza (CCM), Adadi Rajabu, aliyehamishiwa Kamati ya Bajeti.

Kabla ya mabadiliko hayo, Adadi alikuwa mjumbe kwenye Kamati ya Ulinzi na Usalama na mwenyekiti wa kamati hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!