Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mengi yaibuka kutumbuliwa kwa Mwigulu Nchemba
Habari za SiasaTangulizi

Mengi yaibuka kutumbuliwa kwa Mwigulu Nchemba

Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Uchumi
Spread the love

KUONDOLEA kwa Mwigulu Nchemba katika nafasi ya Waziri wa Mambo na Ndani ya Nchi kumezua mijadala mikali kwa wadau wa siasa, huku kila mmoja akitoa sababu za kuondolewa kwake katika nafasi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mwigulu aliondolewa  katika nafasi ya uwaziri baada ya Rais John Magufuli kufanya marekebisho madogo katika baraza la mawaziri na nafasi yake kuchukuliwa na Kange Lugola.

Baada ya Mwigulu kuondolewa wadau wa siasa wamegawanyika katika pande mbili, huku kila upande ukielezea sababu za kuondolewa kwake.

Upo upande unaoamini kuwa Mwigulu ameondolewa kwa kwenda tofauti na mfumo wa Serikali ya Awamu ya Tano, lakini wengine wakiamini kuwa ametumbuliwa kutokana na kushindwa kusimamia majukumu yake katika nafasi aliyokuwa nayo kama Waziri wa Mambo ya Ndani.

Baadhi ya maoni ya wadau hao katika mitandao ya kijamii kuhusiana na kuondolewa kwa Mwigulu.

https://twitter.com/Julius_Mtatiro/status/1013415733424984064

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Dk. Mwakyembe : Zanzibar waliongoza kutaka Serikali 2 za muungano

Spread the love  MWANASIASA mkongwe nchini, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema mjadala wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

error: Content is protected !!