Friday , 2 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Mengi yaibuka kutumbuliwa kwa Mwigulu Nchemba
Habari za SiasaTangulizi

Mengi yaibuka kutumbuliwa kwa Mwigulu Nchemba

Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha na Uchumi
Spread the love

KUONDOLEA kwa Mwigulu Nchemba katika nafasi ya Waziri wa Mambo na Ndani ya Nchi kumezua mijadala mikali kwa wadau wa siasa, huku kila mmoja akitoa sababu za kuondolewa kwake katika nafasi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mwigulu aliondolewa  katika nafasi ya uwaziri baada ya Rais John Magufuli kufanya marekebisho madogo katika baraza la mawaziri na nafasi yake kuchukuliwa na Kange Lugola.

Baada ya Mwigulu kuondolewa wadau wa siasa wamegawanyika katika pande mbili, huku kila upande ukielezea sababu za kuondolewa kwake.

Upo upande unaoamini kuwa Mwigulu ameondolewa kwa kwenda tofauti na mfumo wa Serikali ya Awamu ya Tano, lakini wengine wakiamini kuwa ametumbuliwa kutokana na kushindwa kusimamia majukumu yake katika nafasi aliyokuwa nayo kama Waziri wa Mambo ya Ndani.

Baadhi ya maoni ya wadau hao katika mitandao ya kijamii kuhusiana na kuondolewa kwa Mwigulu.

https://twitter.com/Julius_Mtatiro/status/1013415733424984064

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

Habari za SiasaTangulizi

Zanzibar watangaza rasmi kuwa shamba la Razaba ni mali yao

Spread the love  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetangaza rasmi kwamba shamba...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi azindua Kamati ya Maridhiano Visiwani

Spread the love  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Hussein...

error: Content is protected !!