BWANAHERI Akili, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi, Namalombe iliyopo Nanyumbu mkoani Mtwara, ameiomba serikali kujenga madarasa mengine katika shule yake kwa...
By Mwandishi WetuFebruary 23, 2021MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo, amefariki dunia leo asubuhi Jumanne, tarehe 23 Februari 2021, Hospitali ya...
By Mwandishi WetuFebruary 23, 2021MWILI wa katibu mkuu wa zamani wa wizara ya fedha na mipango nchini Tanzania, Dk. Servacius Likwelile, unazikwa leo Jumanne tarehe 23...
By Mwandishi WetuFebruary 23, 2021KAMAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Bara, Dorothy Semu amekaimu rasmi kiti cha uenyekiti wa chama hicho, kilichokuwa kikishikiliwa na Hayati Maalim...
By Regina MkondeFebruary 23, 2021KAMA itafanikiwa kuvuka kwenye mchezo wa pili dhidi ya Costo De Agosto ya Angola, klabu ya Namungo ya Tanzania, itaangukia kwenye kundi...
By Kelvin MwaipunguFebruary 22, 2021ALIYEKUWA Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Prof. Benno Ndullu (71), amefariki dunia. Prof. Ndullu, alizaliwa tarehe 23 Januari 1950. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguFebruary 22, 2021RAIS wa Tanzania, John Magufuli atafanya ziara ya kikazi ya siku tatu, jijini Dar es Salaam, kuanzia Jumatano hadi Ijumaa, tarehe 26...
By Hamisi MgutaFebruary 22, 2021CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kitaanza mchakato wa kumpata mrithi wa Maalim Seif Sharif Hamad (77), kwenye nafasi ya Makamu wa Kwanza...
By Regina MkondeFebruary 22, 2021KOCHA Mkuu wa Al Ahly, Pitso Mosimane ametaja wachezaji Luis Miquison, Clatous Chama na Chriss Mugalu kama wachezaji wa kuwachunga kuelekea mchezo...
By Kelvin MwaipunguFebruary 22, 2021MAELFU ya wananchi wa Myanmar wamejitokeza katika miji mbalimbali nchini humo, wakipinga utawala wa kijeshi. Inaripoti Aljazeera…(endelea). Taarifa kutoka Myanmar zinaeleza, kwamba biashara...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2021WATU wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kupendekeza majina ya viongozi wa serikali wanaotamani wafe kwa virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi...
By Kelvin MwaipunguFebruary 22, 2021WAWEKEZAJI na wafanyabiashara nchini wameshauri wa kuibua fursa zinazofungamana na sekta ya madini ili ajili kukuza uchumi wa Taifa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeFebruary 22, 2021SERIKALI imepanga kutumia ndege ya kunyunyuzia sumu ili kuangamiza wadudu waharibifu aina ya nzige katika wilayani Longido na Simanjiro. Aanaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kauli...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2021ALIYEWAHI kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu (71), amefariki dunia leo Jumatatu tarehe 22 Februari 2021, katika...
By Regina MkondeFebruary 22, 2021WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza mambo manane yanayoweza kumsaidia Mtanzania kujilinda na magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo...
By Masalu ErastoFebruary 21, 2021EMMANUEL Lukmai, alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Bagamoyo amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2021HALIDI Mchanga, Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Naliendele, amesimamishwa kazi kwa kushindwa kukamilisha mradi wa bweni na bwalo la chakula katika...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2021SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limeitaka serikali ya Tanzania kutoa takwimu za maambukizi ya virusi vya Covid 19, ili kuwezesha kujulikana idadi...
By Masalu ErastoFebruary 21, 2021TIMU ya soka ya Namungo FC leo inashuka uwanjani kuwakabili CD 1 Agosto kutoka Angola kwenye mchezo wa raundi ya tatu ya...
By Kelvin MwaipunguFebruary 21, 2021RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kujihadhari na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Ametoa wito...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2021MWILI wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Tanzania, Balozi John Kijazi (64), umepumzishwa katika makazi yake ya milele. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2021SAFARI ya Maalim Seif Sharif Hamad, katika harakati za kisiasa Visiwani, haikuwa rahisi. Ilipitia milima na mabonde; miamba na miba; dhuroba na...
By Hamisi MgutaFebruary 20, 2021ALIYEKUWA katibu mkuu wa wizara ya Fedha na Mipango, katika serikali ya Tanzania, Dk. Servasius Beda Likwelile, amefariki dunia. Anaripoti Saed Kubenea…(endelea)....
By Saed KubeneaFebruary 20, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, hakuna anayekatazwa kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukiza. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Majaliwa ametoa kauli...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2021ALIYEKUWA Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Tanzania, Balozi John Kijazi (64), amefariki dunia kutokana na maradhi ya moyo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2021PADRE wa Parokia ya Kristo Mfalme Kibaoni, Jimbo Katoliki la Singida, Parick Njiku, amefariki dunia jana Ijumaa, tarehe 19 Februari 2021, katika...
By Regina MkondeFebruary 20, 2021ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Servacius Likwelile, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumamosi,...
By Regina MkondeFebruary 20, 2021SAFARI ya ushirikiano baina ya Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli na aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi wake, Balozi John Kijazi, ilianza tangu...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2021JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania, amelazimika kusoma hadharani ujumbe aliotumiwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango, ili kukanusha taarifa...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2021RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema, aligoma kukubali wito wa kukutana na aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif...
By Regina MkondeFebruary 19, 2021RAIS wa Tanzania, John Magufuli, ametangaza siku tatu za maombi kuanzia leo Ijumaa hadi Jumapili tarehe 21 Februari 2021, ili Mungu atokomeze...
By Regina MkondeFebruary 19, 2021RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amewaongoza waombolezaji, kuuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi (64), aliyefariki dunia tarehe 17...
By Regina MkondeFebruary 19, 2021KIFO cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, kilichotokea Jumatano tarehe 17 Februari 2021, katika Hospitali ya Taifa...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2021KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema, wosia wa mwisho aliopewa na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad,...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2021MAALIM Seif Sharif Hamad, aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amehitimisha safari yake ya miezi 927 duniani. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2021BASTOLA ya Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama (CCM) iliyoibwa tarehe 15 Februari 2021, katika eneo la Kawe Beach, jijini Dar es Salaam,...
By Hamisi MgutaFebruary 18, 2021WAZIRI Mkuu wa zamani wa Tanzania, Edward Lowassa amemtaja Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar kwamba alikuwa mwanasiasa...
By Hamisi MgutaFebruary 18, 2021JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linaichunguza Hospitali ya Aga Khani, jijini Dar es Salaam, kwa tuhuma...
By Kelvin MwaipunguFebruary 18, 2021TUME ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC), imemteua Renatha Lihange Mizungo, kuwa Diwani Viti Maalumu kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Kigoma....
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2021MWILI wa Katibu Mkuu Kiongozi nchini Tanzania, Balozi John Kijazi, umeagwa leo Alhamis tarehe 18 Februari 2021, katika Hospitali ya Benjami Mkapa,...
By Kelvin MwaipunguFebruary 18, 2021KITUO cha Televisheni cha Tifu, Zanzibar kimefungiwa kwa siku saba baada ya kukiuka mwongozo wa vipindi wakati huu wa msiba wa Hayati...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2021RAIS wa Shirikisho la mpira wa Miguu visiwani Zanziba (ZFF) Seif Kombo Pandu amejiuzuru nafasi hiyo hii leo tarehe 18 Februari 2020,...
By Kelvin MwaipunguFebruary 18, 2021PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amemueleza Maalim Seif Sharif Hamad kwamba Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilimzuia...
By Kelvin MwaipunguFebruary 18, 2021MABIGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, imeomboleza kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John...
By Kelvin MwaipunguFebruary 18, 2021RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameongoza maelfu ya wananchi jijini Dar es Salaam, katika ibada ya swala ya maiti ya mwanasiasa...
By Regina MkondeFebruary 18, 2021KATIBU Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Tanzania, Balozi John Kijazi, amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma. Anaripoti Hamis Mguta,...
By Hamisi MgutaFebruary 17, 2021KLABU ya Yanga imelazimishwa sare ya mabao 3-3 na Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara. Anaripoti Kelvin Mwaipungu,...
By Kelvin MwaipunguFebruary 17, 2021MWILI wa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, aliyefariki leo Jumatano, tarehe 17 Februari 2021, Hospitali ya Taifa...
By Hamisi MgutaFebruary 17, 2021MWANDISHI wa habari wa televisheni ya ITV na Redio One, Vedasto Msungu amefariki dunia leo Jumatano, saa 11 jioni, tarehe 17 Februari...
By Hamisi MgutaFebruary 17, 2021TIMU za Simba na Yanga za jijini Dar es Salaam, zimetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu...
By Hamisi MgutaFebruary 17, 2021