Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maalim Seif kuzikwa leo Z’bar
Habari za Siasa

Maalim Seif kuzikwa leo Z’bar

Spread the love

 

MWILI wa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, aliyefariki leo Jumatano, tarehe 17 Februari 2021, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, utazikwa leo Alhamisi, Mtambwe, Pemba visiwani Zanzibar. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea).

Ratiba iliyotolewa na Serikali ya Mapinduzi Zanizbar, inaonyesha mwili wa Maalim Seif (77) ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, utasaliwa katika Msikiti wa Maamur, Dar es Salaam asubuhi ya kesho kisha kusafirishwa kwenda Unguja.

Ratiba yote hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!