MWILI wa Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, aliyefariki leo Jumatano, tarehe 17 Februari 2021, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, utazikwa leo Alhamisi, Mtambwe, Pemba visiwani Zanzibar. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea).
Ratiba iliyotolewa na Serikali ya Mapinduzi Zanizbar, inaonyesha mwili wa Maalim Seif (77) ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, utasaliwa katika Msikiti wa Maamur, Dar es Salaam asubuhi ya kesho kisha kusafirishwa kwenda Unguja.
Ratiba yote hii hapa chini;
Leave a comment