MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo, amefariki dunia leo asubuhi Jumanne, tarehe 23 Februari 2021, Hospitali ya Meatu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Simiyu … (endelea).
MwanaHALISI Online, limezungumza na katibu mwenezi wa CCM mkoani humo, Mayunga George ambaye amesema, taratibu zingine za mazishi zitatolewa baadaye
Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV kwa habari zaidi
Alikuwa anaumwa nini?