Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CCM yapoteza mwenyekiti wake Simiyu
Habari za Siasa

CCM yapoteza mwenyekiti wake Simiyu

Enock Yakobo
Spread the love

 

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo, amefariki dunia leo asubuhi Jumanne, tarehe 23 Februari 2021, Hospitali ya Meatu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Simiyu … (endelea).

MwanaHALISI Online, limezungumza na katibu mwenezi wa CCM mkoani humo, Mayunga George ambaye amesema, taratibu zingine za mazishi zitatolewa baadaye

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!