Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Simba waomboleza kifo cha Balozi Kijazi
Michezo

Simba waomboleza kifo cha Balozi Kijazi

Spread the love

MABIGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, imeomboleza kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Willim Kijazi. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Balozi Kijazi alifikwa na mauti jana Jumatano saa 3:10 usiku katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

Katika taarifa hizo za maombolezo zilizotolewa na Klabu ya Simba umesema “uongozi wa Klabu ya Simba, unatoa pole kwa Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, familia na Watanzania wote kufuatia kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!