Tuesday , 21 May 2024

Month: February 2021

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif: Jabali la siasa lililoanguka

  MWAMBA wa kisiasa na vuguvugu la demokrasia barani Afrika, umeanguka rasmi na hauwezi tena kurejea ulingoni. Ni Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yaomboleza kifo cha Maalim Seif

  UBALOZI wa Marekani nchini Tanzania umesema, Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad (77), alikuwa kiongozi anayeweka mbele watu...

Habari

Tufanye toba – Maaskofu TEC

  BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limewataka waumini wake kufanya toba ya kweli ili kubadili mioyo mibovu. Anaripoti Ragina Mkonde, Dar es...

Habari

Kifo cha Maalim Seif: Magufuli atangaza siku 3 za maombolezo

RAIS wa Tanzania, John Magufuli ametangaza siku tatu za maombolezo ya Kitaifa kuanzia leo Jumatano tarehe 17 Februari 2021, ambapo bendera zote zitapepea...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Ni uchungu kumpoteza Maalim Seif

  CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania kimesema, kimeshtushwa na kifo cha mwenyekiti wake, Maalim Seif Sharif Hamad, kilichotokea leo Jumatano tarehe 17 Februari...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli amlilia Maalim Seif

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha aliywekuwa Makamu wa Kwanza wa...

HabariTangulizi

BREAKING NEWS: Maalim Seif afariki dunia

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ametangaza kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad (77), Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar, kilichotolea leo Jumatano...

Michezo

Uamuzi wa CAF waibeba Namungo FC

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), limeamua michezo yote miwili ya Kombe la Shirikisho kati ya Namungo FC na CD...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki: Siasa za ubinafsi zinaleta manung’uniko

  BARAZA la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC), limewataka Watanzania kuacha siasa za upendeleo na ubinafsi, kwa kuwa zinasababisha mfarakano katika...

HabariTangulizi

Waziri Aweso awafyeka vigogo wa maji

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi wa Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi...

Habari za Siasa

Magufuli amtumbua DED Kinondoni

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni (DED) jijini Dar es Salaam, Aron Titus Kagurumjuli. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mwamakula aachiwa kwa dhamana

JESHI la polisi jijini Dar es Salaam, limemuachia kwa dhamana, Askofu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti...

Habari Mchanganyiko

Vigogo kanisa la EAGT wahojiwa Takukuru

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), nchini Tanzania, inawahoji viongozi wakuu wa Kanisa la Evangelical Assembless of God of Tanzania...

Burudika

Majizo, Lulu wafunga ndoa Dar

  HAYAWI hayawi sasa yamekuwa, Francis Ciza maarufu Majizo na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamefunga ndoa. Anaripoti Matrida Peter, Dar es Salaam..(endelea) Majizo ambaye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata la COVID-19: Askofu Niwemugizi ataka ukweli uanikwe

  SEVERINE Niwemugizi, Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara amehoji, “changamoto ya upumuaji ni kitu gani?” Anaripoti Mwandishi Wetu, Ngara…(endelea). Askofu Niwemugizi amehoji...

Michezo

Azam TV kufunga taa viwanja vinne, ligi kuu kupigwa usiku

  KAMPUNI ya Azam Media, wamekuja na mradi wa kufunga taa kwenye viwanja vinne vinavyochezewa Ligi kuu Tanzania Bara. Anaripoti Kelvin Mwaipungu… (endelea)...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo wataka Askofu Mwamakula kuachiwa huru, asidhihakiwe

  CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimelaani hatua ya jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, kumkamata na kumshikilia Askofu Dk. Emmaus Mwamakula,...

Kimataifa

Rais Jacob Zuma matatani tena

ALIYEKUWA Rais Afrika Kusini, Jacob Zuma (79), anakabiliwa na “kosa la kuidharau mahakama.” Jaji mmoja nchini Afrika Kusini amesema, anataka aliyekuwa rais huyo...

Michezo

Simulizi ya Profesa Jay katika muziki, siasa

  UMESAHAU ulipotoka hujui unapokwenda, ukapata kiburi kuona mi nakupenda, nilikuthamini na letu penzi kulienzi na leo siamini kama umenisaliti mpenzi. Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Julio na ‘wanae’ kibaruani dhidi ya Ghana

  TIMU ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 (Ngorongoro Heroes) ambayo ipo chini ya kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ itakuwa...

Michezo

Wapinzani wa Simba Ligi ya Mabingwa, kushuka dimbani

  MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, klabu ya Al Ahly itashuka dimbani hii leo tarehe 16 Februari 2021, dhidi ya El...

Habari za SiasaTangulizi

Kikwete: Nimempoteza mtu wa karibu katika maisha yangu

  RAIS mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amesema, taifa limempoteza mzalendo wa dhati na mtetezi shupavu wa Mapinduzi ya Zanzibar, Dk....

Habari za Siasa

Mbunge Nditiye azikwa, ujumbe watolewa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, sifa na maneno mazuri ambayo yamesemwa kuhusu aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Mhandisi Atashasta Nditiye yatakuwa...

Habari Mchanganyiko

Polisi Tanzania wamkamata Askofu Mwamakula

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam nchini Tanzania, linamshikilia, Emmaus Mwamakula, Askofu wa kanisa la Uamsho la Moravian...

AfyaTangulizi

Madaktari: Kuna ongezeko la wagonjwa, watahadharisha

  CHAMA cha Madaktari nchini (MAT), kimewataka wananchi kuwa makini kutokana na ongezeko la wagonjwa wenye matatizo ya kupumua. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Bangi yamueka matatani mkulima

  AZIZ Rashid Abdallah (39), mkulima na mkazi wa Mbande Rufu, Mbagala jijini Dar es Salaam anashikiliwa na Jeshi la Polisi, Mkoa wa...

Habari za Siasa

Z’bar ‘yawabana’ watalii kulinda utamaduni

  SERIKIALI ya Mapinduzi Zanzibar imewataka watalii kuzingatia miiko na maadaili ya Mzanzibari hasa katika mavazi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Taarifa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba wa Profesa Mwandosya afariki dunia

  PROFESA Mark Mwandosya, waziri wa zamani katika utawala wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, ameeleza kuumizwa na kifo cha baba yake mdogo,...

Habari za SiasaTangulizi

Pigo CCM, Mzee Seif Khatibu afariki

  DAKTARI Mohmmed Seif Katibu, aliyewahi kuwa Mkuu wa Oganizesheni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na waziri katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano...

Michezo

Kim Poulsen arejeshwa kuifundisha Taifa Stars

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Kim Poulsen raia wa Denmark (61) kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ‘Taifa...

Habari MchanganyikoTangulizi

BAKWATA yatoa magizo kuikabili corona

  BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA), limeelekeza misikiti yote kufanya maombi maalumu (kusoma dua) kwa ajili ya kumuomba Munga kuliepusha taifa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

COVID-19: Sheikh Ponda aungana na KKKT, Katoliki

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, amepongeza miongozo iliyotolewa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjiki la...

Habari MchanganyikoKimataifa

Donald Trump atokea tundu ya sindano

  ALIYEKUWA rais wa Marekani, Donald Trump, ameponea chupuchupu kitiwa hatiani, kutokana na madai ya kuchochea vurugu katika jengo la Bunge, tarehe 6...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mil 5 zamtesa Joyce Kiria

JOYCE Kiria, Mwanaharakati wa masuala ya wanawake, anasaka Sh. 5 Mil ili kulipa faini baada ya kuweka maudhui mtandaoni bila kufuata sheria. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mwili wa Nditiye waagwa bungeni

  MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Atashasta Nditiye (52), umeagwa bungeni jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Elimu

Serikali kujenga shule za sekondari mpya 1,026

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali itajenga shule mpya 1,026 ambapo kati ya hizo, shule 26 zitakuwa za bweni zenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Majaliwa awanyooshea kidole wanufaika mikopo elimu ya juu

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka wanufaika wote wa mikopo ya elimu ya juu nchini humo, ambao bado hawajajitokeza na kuanza...

Tangulizi

Mahakama ya ICC yapata mwendesha mashtaka mpya

  NCHI wanachama wa mkataba wa Roma ulioanzisha Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), umemchagua mwanasheria kutoka Uingereza, Karim Khan...

Michezo

Majaliwa aipongeza Simba, amwagia sifa Barbara

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameipongeza klabu ya Simba kwa kufanikiwa kuingia hatua ya makundi ya michuano...

Michezo

TFF: Walichofanyiwa Namungo ni kinyume na utaratibu

  SHIIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema kuwa kitendo cha timu ya Namungo FC kutaka kuwekwa karantini nchini Angola baada ya...

MichezoTangulizi

Kushikiliwa kwa Namungo Angola, Majaliwa atoa neno

  SAA chache mara baada ya msafara wa Namungo kuzuiliwa kwenye Uwanja wa ndege wa Luanda Angola, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano...

Habari Mchanganyiko

Kikwete: Kwa heri kaka yangu Bakari Mwapachu

  JAKAYA Mrisho Kikwete, Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania, amesema Taifa litamkumbuka mwanasiasa mkongwe nchini humo, Bakari Harith Mwapachu (81),...

Michezo

Namungo FC yakwama Uwanja wa ndege Angola

  MSAFARA wa wachezaji na viongozi wa klabu ya Namungo FC umezuiliwa katika Uwanja wa ndege wa Luanda nchini Angola kwa madai kuwa...

Habari za Siasa

Magufuli amlilia mbunge Nditiye

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge, Job Ndugai kufuatia kifo cha Mbunge wa Muhambwe (CCM), mkoani...

MichezoTangulizi

Simba yaigeuzia kibao AS Vita, yachukua pointi tatu

  PENALTI ya dakika 60 ya mchezo iliwekwa kambani na Chriss Mugalu ilitosha kuipatia Simba pointi tatu kwenye mchezo wa ugenini dhidi ya...

Michezo

Biashara United yaanza mwaka kwa Tuzo

  MSHAMBULIAJI wa Biashara United ya Mara, Deogratius Mafie amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Januari wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL)...

Habari za SiasaTangulizi

Mwanasiasa mkongwe Bakari Mwapachu afariki dunia

  HARITH Bakari Mwapachu (81), waziri mwandamizi wa zamani amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo Ijumaa tarehe 12 Februari 2021, Hospitali ya Taifa...

HabariTangulizi

Serikali ya Tanzania: Hatujasema hatuna corona

  SERIKALI ya Tanzania imeeleza, haijawahi kusema haina maambukizi ya virusi vya corona (Covid-19). Anaripoti Regina Mkonde …(endelea). “Hatujawahi kusema, hatuna virusi vya...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli amsulubu hadharani mbunge Abood

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameeleza kutamani mfanyabiashara Rostam Azizi kugombea Jimbo la Morogoro Mjini, ili kumng’oa Abdul-Aziz Abood, mbunge wa jimbo...

Habari za Siasa

Mbunge CCM aliyenusurika kifo kwa ajali, afariki kwa ajali

  MBUNGE wa Muhambwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Atashasta Nditiye, amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa tarehe 12 Februari...

error: Content is protected !!