Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Michezo Namungo FC yakwama Uwanja wa ndege Angola
Michezo

Namungo FC yakwama Uwanja wa ndege Angola

Kikosi cha timu ya Namungo FC
Spread the love

 

MSAFARA wa wachezaji na viongozi wa klabu ya Namungo FC umezuiliwa katika Uwanja wa ndege wa Luanda nchini Angola kwa madai kuwa wachezaji wao watatu na kiongozi mmoja wana maambukizi ya virusi vya corona. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Kuzuiwa huku kwa klabu hiyo ni baada ya malmaka ya Uwanja huo kutaka msafara mzima wa klabu hiyo kurudi Tanzania au kukaa karantini.

Namungo imesafiri nchini humo kwa ajili ya kucheza mchezo wa raundi ya tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Club Desportivo 1 de Agosto kwa mechi ya mzunguko wa kwanza.

Mchezo huo ulipangwa kuchezwa siku ya kesho tarehe 14 Februari 2021, kwenye dimba la Franca Ndalu uliopo kwenye mji wa Luanda nchini humo.

Mpaka inafika nchini humo Namungo FC iliondoka na jumla ya wachezaji 22.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Piga pesa na mechi za UEFA

Spread the love  HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali...

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

error: Content is protected !!