Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Michezo Namungo FC yakwama Uwanja wa ndege Angola
Michezo

Namungo FC yakwama Uwanja wa ndege Angola

Kikosi cha timu ya Namungo FC
Spread the love

 

MSAFARA wa wachezaji na viongozi wa klabu ya Namungo FC umezuiliwa katika Uwanja wa ndege wa Luanda nchini Angola kwa madai kuwa wachezaji wao watatu na kiongozi mmoja wana maambukizi ya virusi vya corona. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Kuzuiwa huku kwa klabu hiyo ni baada ya malmaka ya Uwanja huo kutaka msafara mzima wa klabu hiyo kurudi Tanzania au kukaa karantini.

Namungo imesafiri nchini humo kwa ajili ya kucheza mchezo wa raundi ya tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Club Desportivo 1 de Agosto kwa mechi ya mzunguko wa kwanza.

Mchezo huo ulipangwa kuchezwa siku ya kesho tarehe 14 Februari 2021, kwenye dimba la Franca Ndalu uliopo kwenye mji wa Luanda nchini humo.

Mpaka inafika nchini humo Namungo FC iliondoka na jumla ya wachezaji 22.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

error: Content is protected !!