Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Maisha Burudika Majizo, Lulu wafunga ndoa Dar
Burudika

Majizo, Lulu wafunga ndoa Dar

Spread the love

 

HAYAWI hayawi sasa yamekuwa, Francis Ciza maarufu Majizo na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamefunga ndoa. Anaripoti Matrida Peter, Dar es Salaam..(endelea)

Majizo ambaye ni Mmiliki wa kituo cha radio na TV ya E-FM na TV-E amefunga pingu za maisha na Lulu, msanii wa maigizo nchini Tanzania, leo Jumanne tarehe 16 Februari 2021, katika Kanisa Katoliki la Mt. Maximilian Maria Kolbe Mwenge, jijini Dar es Salaa.

Wawili hao wamefunga pingu za maisha, baada ya kuwa kwenye mahusiano ya uchumba kwa zaidi ya miaka mitano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BurudikaMichezo

Kizz Daniel aunguruma na EP mpya ‘Thankz alot’

Spread the loveMKALI wa muziki nchini Nigeria, Kizz Daniel ametoa EP yake...

BurudikaHabari za Siasa

Samia amchangia Professa Jay mil. 50, Chadema, wasanii wamwaga manoti

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni...

Burudika

Piga makofi kwa Mr. Eazi …achomoka na ‘The Evil Genius’

Spread the loveMAKOFI kwa Mr Eazi! Staa wa Afropop, Mr Eazi ameachia...

Burudika

Kishindo cha Afro B katika “Wo wo wo” akiwa na Rich the Kid&Rimzee

Spread the loveSTAA ambaye alitambulishwa na ngoma maarufu, Afrowave ‘Drogba’, Afro B,...

error: Content is protected !!