Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Rais ZFF ajiuzuru
Michezo

Rais ZFF ajiuzuru

Seif Kombo Pandu, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF)
Spread the love

 

RAIS wa Shirikisho la mpira wa Miguu visiwani Zanziba (ZFF) Seif Kombo Pandu amejiuzuru nafasi hiyo hii leo tarehe 18 Februari 2020, mara baada ya kuwasilisha barua rasmi. Anaripoti Kelvin Mwaipungu… (endelea)

Kombo amehudumu kwenye nafasi hiyo kama rais wa ZFF kwa kipindi cha miaka miwili na miezi nane toka lipochaguliwa mwezi Juni 2019.

Katika taarifa iliyotolewa na ZFF hii leo imeleza kuwa Seif Kombo ameamua kuchukua maamuzi hayo kwa jili ya maslai mapana ya Mpira wa Zanzibar.

Aidha taarifa hiyo iliendelea kueleza kuwa Seif Kombo amewashukuru viongozi mbalimbali aliofanya nao kazi katika kipindi chote alichokuwepo ZFF

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!