
Spread the love
MWANDISHI wa habari wa televisheni ya ITV na Redio One, Vedasto Msungu amefariki dunia leo Jumatano, saa 11 jioni, tarehe 17 Februari 2021, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Msungu alikuwa amelazwa hospitalini hapo kwa matibabu.
More Stories
Zitto, Fatma Karume wazungumzia ushindi wa Dk. Hoseah TLS
Alichokisema Dk. Hoseah baada ya kushinda urais TLS
GGML yaruhusiwa kuchimba madini 2021