MWANDISHI wa habari wa televisheni ya ITV na Redio One, Vedasto Msungu amefariki dunia leo Jumatano, saa 11 jioni, tarehe 17 Februari 2021, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Msungu alikuwa amelazwa hospitalini hapo kwa matibabu.
More Stories
Walimu Sekondari ya Aga Khan wagoma kisa ubaguzi wa rangi
NMB yatenga bilioni 1 kusaidia wabunifu wachanga, Waziri apongeza
AngloGold Ashanti yaahidi kuendelea kuwekeza zaidi Tanzania