Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Padre Katoliki afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Padre Katoliki afariki dunia

Padre wa Parokia ya Kristo Mfalme Kibaoni, Jimbo Katoliki la Singida, Marehemu Parick Njiku
Spread the love

 

PADRE wa Parokia ya Kristo Mfalme Kibaoni, Jimbo Katoliki la Singida, Parick Njiku, amefariki dunia jana Ijumaa, tarehe 19 Februari 2021, katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma. . Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kifo hicho kimetangazwa na Mhashamu Baba Askofu, Edward Mapunda wa Jimbo Katoliki Singida.

“Mhashamu Baba Askofu Edward Mapunda wa Jimbo Katoliki Singida, anatangaza kifo cha Padre Patrick Njiku, aliyekuwa anafanya Utume wake katika Paroka ya Kristo Mfalme Kibaoni.”

“Kilichotokea tarehe 19 Februari 2021 katika Hospital ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma,” imesema taarifa ya Askofu Mapunda.

Taarifa ya Askofu Mapunda imesema, misa ya kuuaga na mwili wa marehemu Padri Njiku, itafanyika tarehe 23 Februari 2021, saa 1:00 asubuhi, katika Parokia ya Kristo Mfalme Kibaoni, alipokuwa anafanyia utume enzi za uhai wake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!