Kimataifa
SHIRIKA la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa ripoti inayoonyesha hali ya usalama kutokuwa shwari nchini Burundi, anaandika Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2017WANAMGAMBO wa Islamic State wametoa kanda ya sauti ya kiongozi wa kundi hilo, Abu Bakr al-Baghdadi, anaandika Mwandishi Wetu. Mzungumzaji aliye na sauti...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2017VYOMBO vya habari nchini Uganda vimezuiwa kuonesha matangazo ya moja kwa moja (Mubashara) vikao vya Bunge vinavyoendelea nchini Uganda, anaandika Hamis Mguta. Mkurugenzi...
By Hamisi MgutaSeptember 28, 2017RAIS wa Marekani Donald Trump amesaini sheria mpya ya kuongeza vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini juu ya mpango wake wa zana za Nyuklia...
By Masalu ErastoSeptember 22, 2017KIMBUNGA cha Maria kimekivuruga kisiwa cha Puerto Rico nchini Marekani na kusababisha umeme kukatika katika eneo lote katika kisiwa hicho, anaandika Mwandishi wetu....
By Hamisi MgutaSeptember 21, 2017ASASI isiyo ya kiserikali nchini kongo imesema watoto wengi zaidi wanakosa elimu kutokana na mgogoro na mfumo duni wa elimu wa nchi hiyo....
By Masalu ErastoSeptember 12, 2017NAIBU Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassim amesema kuwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia inaonesha...
By Masalu ErastoSeptember 11, 2017KIMBUNGA cha Irma kimesababisha vifo vitatu baada ya kutua katika jimbo la Florida kikitokea kisiwa cha Marco magharibi mwa pwani ya Florida nchini...
By Masalu ErastoSeptember 11, 2017RAIS wa nchini Mali, Boubacar Keita amefungua kambi ya majeshi inayohusisha nchi tano za Afrika yenye lengo la kupambana na wanamgambo katika eneo...
By Masalu ErastoSeptember 11, 2017AWAMU ya kwanza ya wakimbizi wa kutoka Burundi wanaorejea kwa hiari yao kutoka Tanzania wanatarajiwa kuwasili nchini mwao hii leo, anaandika Jovina Patrick....
By Masalu ErastoSeptember 7, 2017KOREA Kaskazini imefanya sherehe kubwa kwa ajili ya kuwaenzi wanasayansi waliofanikisha majaribio makubwa ya bomu la Nyuklia nchini humo, anaandika Irene Emmanuel. Sherehe...
By Masalu ErastoSeptember 7, 2017WANASAYANSI nchini Uingereza wamegundua kamera yenye uwezo ya kupiga picha viungo vya ndani ya mwili wa binadamu, anaandika Mwandishi Wetu. Kifaa hicho kimeundwa...
By Mwandishi WetuSeptember 4, 2017MAREKANI imeapa kujibu shambulio lolote la kijeshi kutoka Korea Kaskazini dhidi ya nchi hiyo ama washirika wake, anaandika Irene David. Hayo yamesemwa na...
By Masalu ErastoSeptember 4, 2017KOREA Kusini inasema kuwa kuna dalili kuwa Korea Kaskazini inapanga majaribio zaidi ya makombora yanayokwenda masafa marefu, anaandika Mwandishi Wetu. Maofisa wa ulinzi...
By Mwandishi WetuSeptember 4, 2017KOREA Kaskazini imerusha makombora kuelekea mashariki mwa kisiwa cha Hokkaido kwa umbali wa kilomita 1000, anaandika Irene David. Waziri Mkuu wa Japani Shinzo...
By Masalu ErastoAugust 29, 2017WATU saba wamefariki nchini Marekani na wengine zaidi ya 1000 hawana makaazi ya kuishi kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katikati ya mji wa Texas...
By Masalu ErastoAugust 29, 2017IDADI ya watu waliofariki dunia kutokana na maporomoko ya udongo yaliyoambata na mafuriko katika mji wa milimani wa Regent nje kidogo ya Freetown...
By Masalu ErastoAugust 28, 2017WATU 40 wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyotokea katika jimbo la Yei nchini Sudan Kusini, anaandika Hellen Sisya. Mapigano hayo ambayo yanatokana...
By Masalu ErastoAugust 28, 2017CHAMA cha People’s Movement for the Liberation of Angola (MPLA) nchini Angola kimeshinda uchaguzi mkuu uliofanyika jumatano ya wiki hii kwa zaidi ya...
By Masalu ErastoAugust 25, 2017MRITHI aliyetarajia kurithi kampuni ya Samsung, Lee Jae-yong amehukumiwa kifungo cha miaka mitano na mahakama ya nchini Korea Kusini kwa kosa la rushwa,...
By Masalu ErastoAugust 25, 2017GABRIELLA Engels, mwanamitindo nchini Afrika Kusini aliyeshambuliwa na Grace Mugabe, mke wa Rais wa Zimbabwe, amepinga kinga ya kidiplomasia inayotolewa na serikali ya...
By Masalu ErastoAugust 24, 2017NUSU ya maiti 400 zilizotokana na maporomoko ya udongo na mafuriko nje ya mji wa Freetown tayari zimezikwa, anaandika Hamisi Mguta. Serikali nchini...
By Hamisi MgutaAugust 17, 2017MIILI ya watu takribani 400 nchini Sierra Leone katika eneo la Regent na maeneo ya jirani mjini Freetown inatarajiwa kuzikwa leo katika mazishi...
By Masalu ErastoAugust 16, 2017NCHI ya Korea Kaskazini inapanga kurusha makombora karibu na kisiwa kimoja nchini Marekani Korea imesema kwamba inatafakari uwezekano wa kurusha makombora karibu na...
By Masalu ErastoAugust 9, 2017MAJESHI ya nchi saba za Jumuiya ya Maendeleo ya Afrika (SADC), yameanza mazoezi ya kijeshi yenye lengo la kujiandaa na tishio la mashambulizi ya...
By Mwandishi WetuAugust 8, 2017BARAZA la usalama la Umoja wa Mataifa (UN), limetoa taarifa juu ya hali ya kisiasa nchini Burundi , ikiwa ni moja kati ya...
By Masalu ErastoAugust 3, 2017Rex Tellerson, Waziri wa Mambo ya Kigeni Nchini Marekani amejibu juu ya jaribio la pili la kombora la masafa marefu lililofanywa na Korea Kaskazini,...
By Masalu ErastoAugust 2, 2017MBUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tundu Lissu, ametangazwa katika kongamano la kimataifa lililofanyika jijini Lagos, nchini Nigeria, kuwa ndiye mwanasiasa kiongozi...
By Jabir IdrissaAugust 1, 2017ALGERIA imesema haitachukua mkopo wa kigeni licha ya nchi hiyo kukabiliwa na matatizo mengi ya ndani hususani ya kiuchumi, anaandika Victoria Chance. Uchumi...
By Masalu ErastoJuly 31, 2017SERIKALI ya Korea Kaskazini imeionya Marekani isitumie njia za vikwazo zaidi wala za kijeshi dhidi ya Pyongyang, anaandika Hellen Sisya. Wizara ya Mambo...
By Masalu ErastoJuly 31, 2017BARAZA la Wawakilishi nchini Marekani limepiga kura ya kziwekea vikwazo nchi za Urusi, Korea Kaskazini na Iran kutokana na kufanya makosa mbalimbali, anaandika...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017Mahakama ya Jinai nchini Misri imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaharakati 43 wa Ikhwanul Muslimin, anaandika Hellen Sisya. Katika hukumu hiyo mahakama hiyo imesema...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017CHAMA cha Upinzani cha Union For Democracy and Social Progress (UDPS) cha DRC kimebainisha mpango wake wa kumshinikiza rais Joseph Kabila kuondoka madarakani,...
By Masalu ErastoJuly 24, 2017BUNGE la Congress limetaka Urusi iadhibiwe kwa kosa la kuingilia uchaguzi wa rais uliofanyika mwaka jana nchini Marekani, anaandika Catherine Kayombo. Bunge hilo...
By Masalu ErastoJuly 24, 2017MSEMAJI wa rais wa Marekani, Donald Trump amejiuzulu kufuatia uteuzi wa rais wa mkurugenzi mpya wa mawasiliano nchini humo, anaandika Catherine Kayombo. Sean...
By Masalu ErastoJuly 22, 2017MAREKANI imetishia kusitisha misaada kwa viongozi wa Sudan Kusini endapo hawatashiriki katika mazungumzo ya ngazi ya juu na kushindwa kuheshimu muda wa mwisho...
By Masalu ErastoJuly 21, 2017MWANAMUZIKI nchini India apiga gitaa kwenye meza ya kufanyia upasuaji ili kuwasaidia madaktari kutibu mishipa (involuntary muscle spasms) katika vidole vyake, anaandika Jovina...
By Masalu ErastoJuly 21, 2017VIJANA sita wakiwamo wavulana wanne na wasichana wawili kutoka Burundi waliokuwa wakishiriki katika mashindano ya roboti yaliyokuwa yakifanyika jijini Washington DC, wametoweka nchini...
By Masalu ErastoJuly 21, 2017Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kuwa, vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake, ni...
By Masalu ErastoJuly 21, 2017POLISI nchini Uganda imewatia mbaroni wapinzani waliofanya mkusanyiko wa kupinga serikali wiki iliyopita, anaandika Hellen Sisya. Emilian Kayima, Msemaji wa jeshi la polisi...
By Masalu ErastoJuly 21, 2017BUNGE la taifa nchini Poland limepitisha muswaada unaolipa nguvu ya kuteua au kutengua viongozi wa mahakama kuu wakiwemo majaji wa juu, anaandika Catherine...
By Masalu ErastoJuly 20, 2017WACHUNGUZI wa Umoja wa Mataifa wanaochunguza mauaji ya wataalam wao nchini DRC wamebaini kwamba wanajeshi wa serikali ya hiyo wanahusika na mauaji hayo,...
By Masalu ErastoJuly 19, 2017VIFAA mbalimbali kwa ajili ya kufanikisha uchaguzi mkuu nchini Kenya vimeanza kuwasili nchini humo kutokea Dubai, anaandika Catherine Kayombo. Miongoni mwa vifaa hivyo...
By Masalu ErastoJuly 19, 2017MAKAMU wa rais wa Afghanistan, Jenerali, Abdul Dostum amezuiwa kuingia nchini mwake akitokea nchini Uturuki, anaandika Mwaandishi wetu. Ndege ya kiongozi huyo iliyojaribu...
By Mwandishi WetuJuly 19, 2017VIONGOZI wa mashitaka nchini Uganda waliogoma wakidai ongezeko la mishahara wamekubali ombi la serikali la kurejea kazini huku wakati madai yao yakishughulikiwa, anaandika...
By Masalu ErastoJuly 18, 2017JUHUDI za rais wa Marekani, Donald Trump, kuubadilisha muswada wa afya wa Obamacare zinaelekea kugonga mwamba kufuatia baadhi ya viongozi katika chama cha...
By Masalu ErastoJuly 18, 2017MTANDAO wa kijamii wa Telegram, umeahidi kuwa utafunga akaunti zinazohusiana na ugaidi nchini Indonesia, anaandika Hamisi Mguta. Maamuzi hayo ni kufuatia Wizara ya...
By Hamisi MgutaJuly 17, 2017MWANASIASA mkongwe aliyekuwa na nguvu kubwa nchini Kenya, Nicolas Biwott atazikwa kwa kutumia jeneza lililosarifiwa kwa dhahabu na ambalo lina uwezo wa kutopenya...
By Jabir IdrissaJuly 16, 2017RAIS wa zamani wa Brazil, Lula da Silva, amehukimiwa kifungo cha miaka tisa na nusu gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kupokea...
By Masalu ErastoJuly 13, 2017MAOFISA wa ngazi ya juu pamoja na wanasiasa wa upinzani nchini Kenya hawajatoa sauti kuhusiana na tamko la Tume ya Mishahara ya serikali...
By Masalu ErastoJuly 12, 2017