Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Zaidi ya nyumba milioni 3.4 kukosa umeme Marekani
Kimataifa

Zaidi ya nyumba milioni 3.4 kukosa umeme Marekani

Spread the love

KIMBUNGA cha Irma kimesababisha vifo vitatu baada ya kutua katika jimbo la Florida kikitokea kisiwa cha Marco magharibi mwa pwani ya Florida nchini Marekani, anaandika Irene Emmanuel.

Kimbunga hicho kilichosababisha uharibifu mkubwa kina kasi ya kilomita 192 kwa saa lakini kwa sasa kimeshuka kutoka kiwango cha tatu hadi cha pili.

Zaidi nyumba milioni 3.4 katika jimbo hilo hazina nguvu za umeme kufuatiwa na kimbunga cha Irma kilichoanza jana na sehemu za mji wa Miami zimefurika maji kutokana na kimbunga hicho.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

Spread the love  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

Spread the love  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

Spread the love  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

Spread the loveMSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga...

error: Content is protected !!