Tuesday , 21 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais wa Mali kufungua kambi ya kijeshi
Kimataifa

Rais wa Mali kufungua kambi ya kijeshi

Rais wa Mali Ibrahim Boubacar Keita
Spread the love

RAIS wa nchini Mali, Boubacar Keita amefungua kambi ya majeshi  inayohusisha nchi tano za Afrika yenye lengo la kupambana na wanamgambo katika eneo la sahel mwa Afrika lililokumbwa na mashambulizi ya kigaidi.,  anaandika Victoria Chance.

Kambi hiyo inahusisha askari kutoka nchi ya Nigeria, Chad, Mali, Mauritania na Burkina faso ambapo pendekezo hilo la kuunda kambi lilipasishwa mnamo Julai 2 mwaka huu katika kikao kilichofanyika katika mji mkuu wa mali  Bamako.

Kuundwa kwa jeshi hilo kunahitajia bajeti ya kiasi cha Dola milioni 496, ingawa hadi sasa kumepatikana Dola 127 kwa ajili ya shughuli hiyo.

Mashambulizi ya makundi ya kigaidi katika eneo la Sahel mwa Afrika, yalianza takribani miaka mitano iliyopita, sambamba na uingiliaji kijeshi wa Ufaransa ndani ya taifa hilo la magharibi mwa Afrika.

Licha ya Ufaransa kuwa na askari wengi nchini humo, imeshindwa kurejesha hali ya usalama na amani na badala yake makundi ya wanamgambo yamekuwa yakijiimarisha kijeshi nchini humo.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Xi Jinping awasili Urusi, kufanya mazungumzo na Putin

Spread the love  RAIS wa uchini Xi Jinping amewasili sasa nchini Urusi,...

Kimataifa

Maandamano Kenya, Afrika Kusini yashika kasi, wapinzani wakishikiliwa

Spread the love  MAANDAMANO ya kupinga serikali zilizoko madarakani nchini Kenya na...

Kimataifa

Maandamano Afrika Kusini: Tanzania yatahadharisha raia wake

Spread the love  WAKATI maandamano yaliyoitishwa na Chama cha upinzani Afrika Kusini,...

Kimataifa

ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa rais Vladmir Putin wa Urusi

Spread the love  MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita (ICC) imetoa...

error: Content is protected !!