Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Algeria yajiita maskini jeuri
Kimataifa

Algeria yajiita maskini jeuri

Mji Mkuu wa Algeria, Algiers
Spread the love

ALGERIA imesema haitachukua mkopo wa kigeni licha ya nchi hiyo kukabiliwa na matatizo mengi ya ndani hususani ya kiuchumi, anaandika Victoria Chance.

Uchumi wa nchi hiyo umeporomoka kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la kimataifa.

Abdul Majeed Taboun Waziri Mkuu wa Algeria ameyasema hayo katika kikao na mkuu wa Jumuiya ya

Waajiri na Wafanyakazi wa nchi hiyo na kuongeza kuwa, Rais Abdelaziz Bouteflika wa nchi hiyo amepiga marufuku nchi yake kuchukua mkopo kutoka nje hadi pale taifa litakapokuwa halikabiliwi na hatari yoyote ile.

Aidha, amesema kuwa nchi hiyo inataka kuwa moja ya nchi zinazostawi kiuchumi kwa kuzalisha bidhaa za aina mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!