Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Joao Lourenco aibuka mshindi Angola
Kimataifa

Joao Lourenco aibuka mshindi Angola

Joao Lourenco
Spread the love

CHAMA cha People’s Movement for the Liberation of Angola (MPLA) nchini Angola kimeshinda uchaguzi mkuu uliofanyika jumatano ya wiki hii kwa zaidi ya asilimia 64, anaandika Victoria Chance.

Chama hicho kilicho tawala nchi ya Angola kwa zaidi ya miaka 40 kimeibuka na ushindi kupitia mgombea wake Joao Lourenco (Waziri wa ulinzi nchini) Angola ambaye atapokea madaraka kutoka kwa Eduardo Dos Santos aliyeongoza nchi ya nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 38.

Licha ya Rais Dos Santos kuachia madaraka ataendelea kuwa mwenyekiti wa chama cha People’s Movement for Liberation of Angola.

Rais mpya wa Angola Joao Lourenco atakabiliwa na changamoto zilizoachwa na Rais wa zamani ambazo ni za kiuchumi licha ya kuwa nchi hiyo ni ya pili kwa uzalishaji wa mafuta barani Afrika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!