Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mojonzi yaikumba Sierra Leone.
Kimataifa

Mojonzi yaikumba Sierra Leone.

Spread the love

MIILI ya watu takribani 400 nchini Sierra Leone katika eneo la Regent na maeneo ya jirani mjini Freetown inatarajiwa kuzikwa leo katika mazishi ya pamoja kufuatia maporomoko ya matope na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini humo, anaandika Irene David.

Msemaji Mkuu wa Rais, Abdulai Baraytay, ametoa kuwa mpaka sasa miili ya watu 600 imetoweka kutokana na kufukiwa kwa matope na vufusi ukujitiada zikiendelea kuwaokoa walioniusurika na maporomoko hayo.

“Jamii nzima inaomboleza, wapendwa wengine wametoweka, takribani miili ya watu 600 imetoweka,” amesema Abdulai.

Abdulai amesema shughuli za mazishi kwa miili 400 waliofariki kufuatia maporomoko hayo yatafanyika leo ili kupunguza idadi ya wafu katika chumba cha kuhifadhia maiti.

Aidha Umoja wa Mataifa (UN) umesema wafanyakazi wake waliopo nchini humo wanaendelea kufanya jitiada za kuiokoa miili mingine na walionusurika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!