Wednesday , 27 September 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Marekani yaonyesha uoga kwa Korea Kaskazini
Kimataifa

Marekani yaonyesha uoga kwa Korea Kaskazini

Spread the love

MAREKANI imeapa kujibu shambulio lolote la kijeshi kutoka Korea Kaskazini dhidi ya nchi hiyo ama washirika wake, anaandika Irene David.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis, wakati akizungumza na Rais Donald Trump, katika mkutano wa kuzungumzia masuala ya ulinzi katika taifa hilo kufuatia jaribio la bomu la Nyuklia huko Pyongyang lililofanywa na Korea Kaskazini.

Trump ameonya kuwa Marekani inaweza kusimamisha kufanya biashara na nchi yoyote inayoshirikiana kibiashara na Korea Kaskazini.

Amesema kuwa haamini kama Korea Kaskazini inaweza kuishambulia Marekani na itafanya jitihada zozote ili kuweza kuondoa mzozo huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Mahakama yamkuta na hatia Donald Trump

Spread the love  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia...

Kimataifa

Harusi yageuka msiba 100 wakifariki kwa ajali ya moto

Spread the love  WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki...

Kimataifa

Kampuni ya mali ya China Oceanwide yapata agizo la kufilisiwa huko Bermuda

Spread the love  MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni...

Kimataifa

Uvamizi wa kijeshi Milango ya bahari ya Taiwan G7 yapinga China

Spread the loveMKUTANO wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa nchi za...

error: Content is protected !!