Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Marekani kushambuliwa na makombora
Kimataifa

Marekani kushambuliwa na makombora

Mifano ya makombora ya Scud yanayomilikiwa na Korea Kaskazini
Spread the love

NCHI ya Korea Kaskazini inapanga kurusha makombora karibu na kisiwa kimoja nchini Marekani Korea imesema kwamba inatafakari uwezekano wa kurusha makombora karibu na jimbo la Marekani la Guam katika bahari ya Pasifiki, anaandika Hellen Sisya.

Kauli ya nchi hiyo inakuja muda mchache baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuitishia Pyongyang kwamba itakabaliwa na “ghadhabu.”

Shirika la habari la Korea Kaskazini limesema taifa hilo linatafakari mpango wa kurusha makombora ya masafa ya kati ya umbali karibu na Guam, eneo ambalo Marekani huwa na ndege zake za kuangusha mabomu.

Taarifa hiyo inaashiria kuongezeka kwa uhasama kati ya nchi hizo mbili na kivi karibuni Umoja wa Mataifa UN, uliidhinisha vikwazo zaidi vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!