Sunday , 3 December 2023
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Mwenyekiti wa Tume Kenya amtuliza Raila Odinga
Makala & Uchambuzi

Mwenyekiti wa Tume Kenya amtuliza Raila Odinga

Wafula Chebukata, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC)
Spread the love

WAFULA Chebukati, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka Nchini Kenya (IBEC), ameahidi kushughulikia malalamiko yaliyotolewa na mgombea urais kupitia Muungano wa NASA, Raila Odinga, juu ya kuwepo kwa madai ya udanganyifu kwenye uhesabuji wa kura, anaandika Victoria Chance.

Amesema fomu 34A na 34B ziko tayari na wameandaa dawati la mawakala wakuu kwaajili ya kuchunguza fomu 34A na 34B, “…tutajua kama haya malalamiko ni ya kweli na kama siyo ya ukweli hatutayazingatia.”

Chebukati amewataka Wakenya kuvuta subira na matokeo ya mwisho bado hayajatolewa na kwamba yatatolewa baada ya siku tano kuanzia leo.

Leo mapema asubuhi, Odinga aliitaka Tume hiyo kuhakikisha inatumia fomu namba 34 A kama sheria inavyotaka, wakati wa kujumlisha na kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Uongozi wa Samia kuendelea hadi 2030

Spread the loveKWETU sisi tuliowahi kusoma sekondari, iwe O levo au A...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Bado askari wastaafu wanaonewa

Spread the loveRAIS wangu Samia Suluhu Hassan tunaendelea kumshukuru Mungu kwamba wote...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Tunastawisha ufisadi na kuchukia matunda yake

Spread the loveBUNGE la Jamhuri linaloendelea mjini Dodoma, kwa wiki nzima limetawaliwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Wamesahau aliyofanya Magufuli

Spread the loveJUMATATU ya tarehe 16 Oktoba 2023 itabaki kuwa siku ya...

error: Content is protected !!