Thursday , 7 December 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Marekani yaziwekea vikwazo Urusi, Korea
Kimataifa

Marekani yaziwekea vikwazo Urusi, Korea

Spread the love

BARAZA la Wawakilishi nchini Marekani limepiga kura ya kziwekea vikwazo nchi za Urusi, Korea Kaskazini na Iran kutokana na kufanya makosa mbalimbali, anaandika Irene David.

Akizungumza na Baraza hilo, David Ciciline kutoka chama cha Demokratic amesema, Urusi inahitajika kuchukuliwa hatua kwa kosa la kuingilia Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana, sambamba na Korea Kaskazini na Iraq kuadhibiwa kwa kosa la kufanya majaribio ya makombora.

Shirika la ujasusi CIA ambalo limekuwa likichunguza kwa umakini uhusiano huu kati ya Marekani na Urusi, limebaini kuwa katika utawala wa Putin ulimsaidia Rais Donald Trump kumharibia sifa mpinzani wake, Hillary Clinton katika uchaguzi wa mwaka jana.

Rais wa Marekani Donald Trumph na timu yake wamekana kutohusishwa kwa Urusi na Rais wake Vladimir Putin, katika uchaguzi uliopita japo bado jambo hili linatiliwa mashaka.

Mpaka sasa bado polisi nchini Marekani chini ya Shirika la Ulinzi na Usalama (FBI) linaendelea kuchunguza kwa umakini suala hili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Muandamanaji ajichoma moto akipinga vita Palestina, Israel

Spread the loveMUANDAMANAJI moja ambaye hajafahamika jina, yuko mahututi hospitalini akitetea uhai...

Kimataifa

Urusi kuongeza wanajeshi ikijihami dhidi ya NATO

Spread the loveSERIKALI ya Urusi iko katika mpango wa kuongeza wanajeshi wake,...

Kimataifa

Israel yarejesha mashambulizi Gaza ikilaumu Hamas kukiuka makubaliano

Spread the loveJESHI la Israel, limerejesha mashambulizi katika ukanda wa Gaza, baada...

Kimataifa

Papa Francis kumfukuza Kardinali anayepinga mageuzi Kanisa Katoliki

Spread the loveKIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, anadaiwa kupanga kumfumkuza...

error: Content is protected !!