Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Kimbunga chamia Marekani, chaua watu saba
Kimataifa

Kimbunga chamia Marekani, chaua watu saba

Spread the love

WATU saba wamefariki nchini Marekani na wengine zaidi ya 1000 hawana makaazi ya kuishi kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katikati ya mji wa Texas nchini Marekani ambazo zimeambatana na kimbunga kiitwacho Hurricane Hurvey, anaandika Irene David.

Kimbunga hicho kimekumba jimbo la Houston nchini humo ambacho kimesababisha uhabifu huo. Rais wa Marekani, Donald Trump, leo anatarajiwa kutembelea maeneo hayo yaliyoathiriwa na mafuriko.

Shughuli za uokoaji mpaka sasa bado zinaendelea japo bado hali si shwari kutokana na mafuriko hayo kuendelea kuwa mengi kutokana na kimbunga hicho cha Hurvey.

Jambo hili litakuwa ni janga la kiasili kutokea kwa mara ya kwanza Trump aingie madarakani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Mahakama yamkuta na hatia Donald Trump

Spread the love  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia...

Kimataifa

Harusi yageuka msiba 100 wakifariki kwa ajali ya moto

Spread the love  WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki...

Kimataifa

Kampuni ya mali ya China Oceanwide yapata agizo la kufilisiwa huko Bermuda

Spread the love  MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni...

Kimataifa

Uvamizi wa kijeshi Milango ya bahari ya Taiwan G7 yapinga China

Spread the loveMKUTANO wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa nchi za...

error: Content is protected !!