Tuesday , 21 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Makombora ya Korea Kaskazini yaitikisa Japan
Kimataifa

Makombora ya Korea Kaskazini yaitikisa Japan

Mifano ya makombora ya Scud yanayomilikiwa na Korea Kaskazini
Spread the love

KOREA Kaskazini imerusha makombora kuelekea mashariki mwa kisiwa cha Hokkaido kwa umbali wa kilomita 1000, anaandika Irene David.

Waziri Mkuu wa Japani Shinzo Abe, amesema urushwaji huo wa makombora haujawahi kutokea na umeleta hofu kubwa kwa taifa lake.

Tishio hilo limesababisha watu nchini humo kujificha maeneo yaliyo chini ya ardhi ama kwenye majengo yaliyoimara kama moja ya kutafuta usalama wao.

Wanajeshi wa Marekani na wale wa Japani wanafanya mazoezi katika eneo hilo la Hokkaida, Abe na Rais wa Marekeani, Donald Trump, wameungana na kukubaliana kuiongezea shinikizo Korea Kaskazini.

Tukio hilo limekuwa tishio kwa Japani kwani Korea Kaskazini haijawahi kurusha Makombora ya juu ya ardhi nchini humo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Xi Jinping awasili Urusi, kufanya mazungumzo na Putin

Spread the love  RAIS wa uchini Xi Jinping amewasili sasa nchini Urusi,...

Kimataifa

Maandamano Kenya, Afrika Kusini yashika kasi, wapinzani wakishikiliwa

Spread the love  MAANDAMANO ya kupinga serikali zilizoko madarakani nchini Kenya na...

Kimataifa

Maandamano Afrika Kusini: Tanzania yatahadharisha raia wake

Spread the love  WAKATI maandamano yaliyoitishwa na Chama cha upinzani Afrika Kusini,...

Kimataifa

ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa rais Vladmir Putin wa Urusi

Spread the love  MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita (ICC) imetoa...

error: Content is protected !!