Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Makombora ya Korea Kaskazini yaitikisa Japan
Kimataifa

Makombora ya Korea Kaskazini yaitikisa Japan

Mifano ya makombora ya Scud yanayomilikiwa na Korea Kaskazini
Spread the love

KOREA Kaskazini imerusha makombora kuelekea mashariki mwa kisiwa cha Hokkaido kwa umbali wa kilomita 1000, anaandika Irene David.

Waziri Mkuu wa Japani Shinzo Abe, amesema urushwaji huo wa makombora haujawahi kutokea na umeleta hofu kubwa kwa taifa lake.

Tishio hilo limesababisha watu nchini humo kujificha maeneo yaliyo chini ya ardhi ama kwenye majengo yaliyoimara kama moja ya kutafuta usalama wao.

Wanajeshi wa Marekani na wale wa Japani wanafanya mazoezi katika eneo hilo la Hokkaida, Abe na Rais wa Marekeani, Donald Trump, wameungana na kukubaliana kuiongezea shinikizo Korea Kaskazini.

Tukio hilo limekuwa tishio kwa Japani kwani Korea Kaskazini haijawahi kurusha Makombora ya juu ya ardhi nchini humo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!