Sunday , 28 April 2024

Kimataifa

Kimataifa

Kimataifa

Kadinali ashtakiwa kuwanyanyasa watoto kingono

George Pell, Kadinali wa kanisa katholiki ameshitakiwa na Polisi nchini Australia kwa makosa kadhaa ya kuwanyanyasa watoto kingono, anaandika Hamis Mguta. Kadinali huyo...

Kimataifa

Marekani yahaha kuwasaka wadukuzi wa mitandao

BARAZA la Usalama la Taifa jijini Washington, Marekani limesema linachunguza shambulio kubwa la kimtandao ambalo limekumba mifumo ya kompyuta duniani kote, anaandika Hamis...

Kimataifa

Rais Trump achunguzwa

Donald Trump, Rais wa Marekani anachunguzuwa na Robert Mueller, ambaye ni mwanasheria maalum kwa kile kinachotajwa kuwa alizuia sheria, kwa mujibu wa gazeti...

Kimataifa

Marekani kuwawekea vikwazo washirika wa Korea Kaskazini

Marekani inasema itaziwekea vikwazo nchi ambazo zinafanya biashara haramu na Korea Kaskazini, anaandika Hamisi Mguta. Rex Tillerson, Waziri wa Mashauri ya nchi za...

Kimataifa

15 wafunikwa na kifusi cha ghorofa, Kenya

KARIBU watu 15 hawajulikani waliko baada ya jumba la ghorofa saba kuporomoka siku ya Jumatatu (jana) usiku, katika kitongoji kimoja cha mji mkuu...

Kimataifa

Marekani yataka Qatar ilegezewe kamba

WAZIRI wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani, Rex Tillerson anasema kuwa nchi za Ghuba ni lazima zilegeze hatua yao dhidi ya...

Kimataifa

Chanjo yaua 15 Sudan Kusini

SERIKALI ya Sudan kusini imesema watoto wapatao 15 wamekufa ikiwa ni matokeo ya makosa yaliyofanyika katika jaribio la kuwakinga na surua, anaandika Hamisi...

Kimataifa

Bomu laua 80 Afghanistan

WATU 80 wameuawa na wengine zaidi ya mia tatu kujeruhiwa, baada ya bomu lililotegwa kwenye gari kulipuka jirani na ubalozi wa Ujerumani mjini...

Kimataifa

Korea Kaskazini yaelekeza kombora Japan

KOREA Kaskazini imerusha kombora la masafa mafupi, ambalo ni la tatu kurushwa na taifa hilo katika kipindi cha wiki tatu, anaandika Hamisi Mguta....

Kimataifa

Trump agonga mwamba, wahamiaji wapeta 

ZUIO la wahamiaji kuingia nchini Marekani lililotolewa na Donald Trump, rais wa nchi hiyo limefutwa, anaandika Wolfram Mwalongo. Hatua hiyo imetajwa kuwa kigingi cha kwanza...

Kimataifa

Marekani yakoleza vita umiliki wa silaha

BUNGE la Wawakilishi nchini Marekani limeafiki kupigwa marufuku kwa Wamarekani wenye matatizo ya akili kumiliki silaha ikiwa ni jitahada za kukabiliana na uhalifu...

Habari za SiasaKimataifa

Upinzani wapata pigo DRC

KIFO cha Etienne Tshisekedi kiongozi wa chama cha upinzani cha (UDPS) katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kimeacha simanzi na pigo kwa wapenda...

Kimataifa

Silaha za Jammeh zafichuliwa

JESHI la Muungano wa Kiuchumi wan chi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) limezinasa silaha mbalimbali za kivita nyumbani kwa Yahya Jammeh Rais aliyelazimishwa...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mauaji ndani ya msikiti Canada

WAUMINI sita wa Dini ya Kiislam nchini Canada, wamefariki dunia na wanane kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi katika msikiti wa Quebec usiku wa...

Kimataifa

Trump ampongeza Kigogo wa FBI

DONALD Trump, Rais wa Marekani amemwagia sifa James Comey, Mkurugenzi wa Shirika la Upelelezi (FBI) akidai ni mtu mahiri na amejipatia umaarufu kiasi...

KimataifaTangulizi

Jammeh akomba fedha, atokomea Guinea

YAYHA Jammeh aliyekuwa rais wa Gambia ameliacha taifa hilo kwenye machungu, baada ya kukomba fedha katika hazina na kwenda uhamishoni nchini Guinea ya...

KimataifaTangulizi

Jammeh anyosha mikono

HATIMAYE Yahya Jammeh, Rais wa Gambia aliyetaka kubaki Ikulu kwa hila ametangaza kuachia madaraka bila shuruti, anaandika Wolfram Mwalongo. Jammeh ametangazia umma kwa...

Kimataifa

Jammeh apagawa, atimua mawaziri

WAKATI muda wa Yahya jammeh rais ‘king’ang’anizi’ wa Gambia ukiwa umeisha na hatua za kumuondoa kwa nguvu zikisubiriwa kuanza, kiongozi huyo amevunja rasmi...

Kimataifa

‘Zungu la unga’ El Chapo kitanzini Marekani

UAMUZI wa Mexico kumpeleka nchini Marekani Joaquin Guzman ‘El Chapo’ muuza dawa za kulevya mkubwa katika bara la America unaonekana kulenga kummaliza kabisa...

Kimataifa

Jammeh sasa ahesabiwa dakika

MUDA wa kubembelezwa kwa Yahya Jammeh Rais wa Gambia aliyegoma kuondoka Ikulu ya nchi hiyo baada ya kuangushwa na mpinzani wake Adama Barrow...

Kimataifa

Mwanasheria amtoroka Jammeh

Edward Anthony Mwanasheria wa Rais Yahya Jammeh nchini Gambia akimbilia uhamishoni katika taifa jirani la Senegal, anaandika Wolfram Mwalongo. Antony ambaye amekuwa bega kwa...

Kimataifa

Ajiteketeza kwa moto kisa mateso ya Wachina

S. Erdene, kiongozi wa chama cha wafanyakazi wa migodi nchini Mongolia amejichoma moto akishinikiza serikali kuachana na mikataba ya kibiashara na makampuni kutoka...

Kimataifa

Obama akipuuza chama chake

RAIS Barrack Obama anayemaliza muda wake wa kukaa Ikulu ya Marekani siku ya kesho amepuuza msimamo wa chama chake cha Democtatic  kususia sherehe...

KimataifaTangulizi

Makamu wa Rais Gambia ajiuzulu

ISATOU Njie, Makamu wa Rais wa Gambia ametangaza wazi kuachia ngazi hiyo kufuatia sintofahamu ya hali ya kisiasa iliyotanda katika Taifa hilo la...

Kimataifa

Bado siku mbili Trump ahamie Ikulu

RAIS mteule Donald Trump wa Marekani amebakisha muda usiozidi siku mbili kabla ya kuapishwa rasmi kuwa rais wa taifa hilo lenye nguvu kubwa...

Kimataifa

Mchungaji Zimbwabwe yamkuta ya Lema

PATRICK Mugadza, Mchungaji na mtetezi wa Haki za Binadamu nchini Zimbabwe ametupwa ruamnde baada ya kutabiri kifo cha Rais Robert Mugabe wan chi hiyo,...

Kimataifa

NATO kushirikiana kumnanga Trump

JEAN Marc Ayrault Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema Jumuiya ya Umoja wa Nchi za Kujihami za Ulaya (NATO), zishirikiane kumjibu...

Kimataifa

Raia wa Cuba watupiwa virago Marekani

RUHUSA kwa raia wa Cuba kuingia Marekani bila na kibali cha kusafiria na kuishi, yaani ‘viza’ sasa imekwisha. Wale walioingia nchini humo kinyume na...

Kimataifa

Gumzo kutoonekana kwa binti wa Obama

KUTOONEKANA kwa Sasha Obama, mtoto wa Rais Barack Obama anayemaliza muda wake wa kuliongoza taifa la Marekani katika mkutano wa kuwaaga raia wa...

Kimataifa

Wananchi wazidi kuikimbia Gambia

HALI ya taifa la Gambia inazidi kuwa tete. Utawala wa mabavu wa Rais Yahya Jammeh umesababisha sintofahamu kubwa huku raia wakichukua tahadhari ya...

Kimataifa

Museveni abadili uongozi wa jeshi

YOWERI Museveni, Rais wa Uganda amefanya mabadiliko katika jeshi la nchi hiyo kwa kumteua David Muhoozi kushika nafasi ya Mkuu wa Majeshi (CDF),...

Kimataifa

Rais Addo amwibia Clinton, Bush

AKIWA na siku tatu ndani ya Ikulu ya Ghana, Rais Nana Akufo Addo anatuhumiwa kuiba sehemu ya hotuba za marais wa Marekani siku...

Kimataifa

Odinga ‘achekelea’ demokrasia ya Ghana

RAILA Odinga Kiongozi wa Muungano wa Upinzani wa CORD na miongoni mwa watu mashuhuri kutoka Afrika Mashariki watakaohudhuria kuapishwa kwa Nana Akufo Addo...

error: Content is protected !!