Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Jammeh apagawa, atimua mawaziri
Kimataifa

Jammeh apagawa, atimua mawaziri

Rais Yahya Jammeh anayeikalia Gambia kwa mabavu
Spread the love

WAKATI muda wa Yahya jammeh rais ‘king’ang’anizi’ wa Gambia ukiwa umeisha na hatua za kumuondoa kwa nguvu zikisubiriwa kuanza, kiongozi huyo amevunja rasmi Baraza la Mawaziri, anaandika Wolfram Mwalongo.

Shirika la habari la Uingereza (BBC) limeripoti kwamba kujiuzulu kwa mawaziri saba, pamoja na Isatou Njie aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jammeh kumemfanya Jammeh kuvunja baraza lake.

Idadi ya watendaji wanaojiweka kando na rais huyo imemuongezea hofu zaidi wakati vyombo vya usalama vikigawanyika pande mbili -wanaomuunga mkono Rais Jammeh dhidi ya wanaoafiki utawala mpya wa Rais Adama Barrow aliyeapishwa akiwa uhamishoni nchini Senegal.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!