Monday , 5 June 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Mwanasheria amtoroka Jammeh
Kimataifa

Mwanasheria amtoroka Jammeh

Edward Anthony, Mwanasheria wa Rais Yahya Jammeh nchini Gambia
Spread the love

Edward Anthony Mwanasheria wa Rais Yahya Jammeh nchini Gambia akimbilia uhamishoni katika taifa jirani la Senegal, anaandika Wolfram Mwalongo.

Antony ambaye amekuwa bega kwa bega katika harakati za kufungua kesi ya kupinga matokeo yaliyompa ushindi wa mpinzani Adama Barrow amemtelekeza mteja wake.

Hatua ya kuhamisha makazi gafla kwa Mwasheria huyo kumetokana na kupuuzwa kwa ushauri wake kwa Rais Jammeh.

Hofu na vitisho vya machafuko vimemwondoa Gambia.Rais Jammeh hajaridhia kuondoka madarakani licha ya kukaa Ikulu kwa miaka 22 sasa.

Katika barua yake ya Januari 17 (juzi) kwa Rais Jammeh, Mwanasheria huyo alimtaka kiongozi huyo kuepusha machafuko kwakukabidhi madaraka kwa mpinzani ambaye ndiye aliyetangazwa kuwa mshindi.

Hata hivyo Rais Jammeh amekuwa na moyo mugumu kusikiliza washauli mbalimbali walio anza kumsihi akabidhi nchi kwa Barrow.Kutokana na kuhofia machafuko.

Rais Jammeh alipaswa kuachia ngazi rasmi hii leo ingawa ameonesha wazi azma ya kung’ang’ana Ikulu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Miili ya waliofariki kwenye ajali ya treni India, kukabidhiwa baada ya vipimo vya DNA

Spread the love  TAKRIBANI watu 260 wamefariki na wengine karibu 650 wamejeruhiwa...

Kimataifa

Kauli ya Rais wa China kuhusu ajira yawakatisha tamaa vijana

Spread the love  KAULI ya hivi karibuni ya Rais wa China, Xi...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Jeshi la Sudan lasitisha mazungumzo na wanamgambo wa RSF

Spread the love  JESHI rasmi la serikali ya Sudan, limesitisha ushiriki wake...

Kimataifa

Wakimbizi laki mbili wa Kongo, Burundi kuhemea chakula

Spread the love  SHIRIKA la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP), limetangaza...

error: Content is protected !!