Thursday , 2 May 2024

Kimataifa

Kimataifa

Kimataifa

Ujumbe wa mwanawe Museveni kwa Uhuru waibua mjadala

  Mwanawe Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba amemwandikia Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ujumbe ulioibua mjadala mzito miongoni mwa mataifa hayo...

Kimataifa

Rais aliyepinduliwa madarakani aaga dunia

  RAIS wa Mali aliyeondolewa madarakani, Ibrahim Boubacar Keita amefariki akiwa na umri wa miaka 76, familia yake na rafiki zake wamesema. Anaripoti...

Kimataifa

Kampeni za Odinga zaingia shubiri

  Mwenyekiti wa Chama cha ODM nchini Kenya, Elgeyo Marakwet Micah Kigen amemkosoa kiongozi wake na mgombea urais wa chama hicho Raila Odinga...

Kimataifa

Mapenzi yashinda! Mwimba injili amuoa mpenziwe ‘bibi kizee’

  WAHENGA husema kipendacho roho hula nyama mbichi na miaka si chochote wala lolote mbele ya mapenzi, miaka ni namba tu. Hilo limejitokeza...

KimataifaMichezo

KUELEKEA AFCON: Cheki mchezaji alivyoagwa na mkewe kwa mabusu ‘mubashara’

  Musah Noah Kamara, mchezaji kandanda wa Sierra Leone, ameagwa kwa mapenzi na bashasha la kipekee kutoka kwa mkewe wakati akijiandaa kuelekea katika...

Kimataifa

Baba mbaroni kwa kujaribu kumuuza mwanawe

  POLISI nchini Liberia wamemkamata na kumfungulia mashtaka mwanamume mmoja raia wa Sierra Leone mwenye umri wa miaka 29 kwa madai ya kujaribu...

Kimataifa

Rais Msumbiji, mkewe wakutwa na corona

  RAIS wa Msumbiji, Filipe Nyusi na mkewe Isaura Nyusi wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona na sasa wamejitenga kwa muda. Anaripoti...

Kimataifa

Waziri Mkuu Haiti anusurika kuuawa

  WATU wenye silaha wamedaiwa kujaribu kumuua Waziri Mkuu wa Haiti, Ariel Henry wakati wa sherehe ya kuadhimisha kumbukumbu ya uhuru wa nchi...

Kimataifa

Maandamano Sudan yamng’oa waziri mkuu aliyewekwa na jeshi

  WAZIRI Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok, aliyewekwa madarakani na jeshi la nchi hiyo Novemba 2021, amejiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi, wanaoshinikiza utawala...

Kimataifa

Afrika Kusini yaondoa marufuku ya kutembea usiku

SERIKALI ya Afrika Kusini ambako ndiko aina mpya ya kirusi cha Corona (Omicron) ilianzia, imesema huenda wimbi la sasa la maambukizi limeshapita kilele...

Kimataifa

Askofu Desmond Tutu kuzikwa Januari Mosi

  Mazishi ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana nchini Afrika Kusini na mwanaharakati wa muda mrefu dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini...

KimataifaMichezo

Defao afariki dunia

  Nguli wa muziki wa Rhumba kutoka Congo, Général Defao (63) amefariki dunia nchini Cameroon alikokwenda kutumbuiza. Anaripoti Mwandishi Wetu  … (endelea). Defao...

Kimataifa

Rais wa Somalia amtimua waziri mkuu wake akimtuhumu kutaka kumpinuda

  RAIS wa Somalia, anayemaliza muda wake, Mohamed Abdullahi Farmajo, amemsimamisha kazi Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mohamed Hussein Roble, ili kupisha uchunguzi...

Kimataifa

Askofu Tutu kuzikwa Jumamosi, kuombolezwa wiki nzima

  MWILI wa aliyekuwa Askofu Mkuu mstaafu Afrika Kusini, Desmond Tutu, unatarajiwa kuzikwa Jumamosi, tarehe 1 Januari 2022, mjini Cape Town, nchini humo....

Kimataifa

Askofu Desmond Tutu afariki dunia, Rais Ramaphosa amlilia

  ASKOFU mkuu mstaafu nchini Afrika Kusini, Desmond Tutu amefariki dunia leo Jumapili, tarehe 26 Desemba 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Tutu...

AfyaKimataifa

Tanzania, Kenya, Ethiopia, Nigeria zapigwa ‘Stop’ kuingia UAE kisa Corona

  UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE), zimesitisha safari za ndege kwa abiria wanaotoka nchi za Tanzania, Kenya, Ethiopia na Nigeria, huku ikiongeza...

Kimataifa

Mwanafunzi afa kwa kukabwa na mkate, soda

  SHEREHE za kumpata mshindi wa kula mkate na kunywa soda jana tarehe 22 Disemba, 2021 ziliisha kwa simanzi, baada ya mwanafunzi mmoja...

Kimataifa

Wasiochanja chanjo ya Corona kukosa huduma za Serikali, baa

  WAKENYA ambao hawatokuwa na cheti cha kupokea chanjo dhidi ya virusi vya Corona hawatoruhusiwa kupokea huduma za serikali ya Kenya ifikapo mwishoni...

Kimataifa

Madai ya kubadili jinsia, mke wa rais atinga mahakamani

  MKE wa Rais wa Ufaransa, Brigitte Macron amesema anatarajia kuchukua hatua za kisheria kuhusu madai ya mitandao ya kijamii kwamba yeye alizaliwa...

Kimataifa

DRC mguu sawa ndani ya EAC, wakuu wa nchi waijadili

  WAKUU wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) leo tarehe 22 Disemba, 2021 wamekutana na kujadili ajenda ya kuiruhusu Jamhuri ya...

Kimataifa

Mmiliki wa Shamba Mahagi adakwa na polisi kwa kuchochea vurugu mgodini

  JESHI la Polisi Mkoani Geita linamshikilia mmiliki wa shamba, Gelvas Bambo pamoja na wenzake watatu kwa kosa la kufanya vurugu na kuchoma...

Kimataifa

Pesa za mgombea urais zawatokea puani madada poa, wakabana koo

  MCHANGO wake Naibu Rais wa Kenya, William Ruto wa Sh milioni 20.3 kwa kukindi akiba na mikopo kilichoundwa na wanawake wanaojihusisha na...

Kimataifa

 Rais Congo-Brazzaville awekwa karantini

  RAIS wa Congo-Brazzaville, Denis Sassou-Nguesso (78), amewekwa karantini baada ya watu kadhaa wa karibu naye kuthibitishwa kuwa wana maambukizi ya virusi vya...

Kimataifa

Wakuu wa nchi kuijadili Congo kujiunga EAC

  OMBI la nchi ya Kidemokrasia ya Congo ( DRC), kujiunga katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), linatarajiwa kujadiliwa tarehe 22 Desemba 2021....

Kimataifa

Dawa mpya za kutibu Covid-19 hizi hapa

  TAASISI ya Usimamizi wa Dawa ya Ulaya – (EMA), imeidhinisha matumizi ya aina mbili za dawa za kutibu maradhi ya COVID-19, pamoja...

Kimataifa

Kansela mpya Ujerumani ahutubia Bunge, atoa mwekeleo

  KANSELA mpya wa Ujerumani, Olaf Scholz amelihutubia kwa mara ya kwanza bunge leo Jumatano, tarehe 15 Desemba 2021 na kuelezea miongozo ya...

Kimataifa

Mahakama Afrika Kusini yataka Zuma arudishwe gerezani

  Mahakama ya Afrika Kusini imeamua rais wa zamani wa Taifa hilo, Jacob Zuma anapaswa kurejea gerezani, kwa sababu msamaha wa kimatibabu aliopewa...

Kimataifa

Mrithi wa Angela Merkel apatikana Ujerumani

MRITHI wa Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, amepatikana leo mjini Berlin, kufuatia Bunge la nchi hiyo, kumuidhinisha Olaf Scholz kuwa Kansela mpya. Anaripoti...

Kimataifa

Wafungwa 38 wafariki kwa ajali ya moto gerezani, 69 wajeruhiwa

Takriban wafungwa 38 wamefariki dunia na wengine 69 kujeruhiwa katika ajali ya moto ulioteketeza gereza kuu la mji mkuu wa Burundi – Gitega...

Kimataifa

Kijana mbaroni kwa kumkata kichwa dada’ke mjamzito

Polisi katika jimbo la Maharashtra – Magharibi mwa India wamemkamata kijana anayeshukiwa kumkata kichwa dadake mkubwa aliyekuwa mjamzito. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Kimataifa

Adama Barrow atangazwa mshindi uchaguzi Gambia

  Rais wa Gambia, Adama Barrow ameshinda tena uchaguzi mkuu wa nchi hiyo katika kura zilizopigwa kwa mara ya kwanza kwa miongo kadhaa...

Kimataifa

Padre apoteza ndugu 11 katika ajali ya basi mtoni, walikuwa wakielekea harusini

  KATI ya wanakwaya 24 ambao wameripotiwa kufariki dunia kutokana na ajali mbaya ya basi iliyotokea katika mto wa Enziu, eneo la Mwingi...

Kimataifa

Gambia wapiga kura kwa kutumia gololi

  DUNIANI kuna mambo ya kushangaza, ndivyo unaweza kutafisiri Uchaguzi Mkuu wa Gambia baada ya kushuhudiwa wananchi wa taifa hilo lililo magharibi mwa...

Kimataifa

Uganda wakanusha kuikabidhi China uwanja wa Entebe

  Serikali ya Uganda na ubalozi wa China mjini Kampala wamekanusha ripoti kwamba China inaweza kuchukua udhibiti wa uwanja wa ndege wa kimataifa...

Kimataifa

Kisa machinga kuuza senene ndani ya ndege, waziri awatimua wafanyakazi

WAZIRI wa Ujenzi na Usafirishaji nchini Uganda, Jenerali Edward Wamala ameagiza kusimamishwa kazi wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Uganda baada ya video...

Kimataifa

Kirusi kipya tishio, mataifa yazuia ndege kutoka Kusini mwa Afrika

MATAIFA mbalimbali duniani ikiwemo Ufaransa yameanza kuzuia safari za ndege kutoka mataifa ya Kusini mwa bara la Afrika, baada ya aina mpya ya...

KimataifaTangulizi

Malawi wamteua Tyson kuwa balozi wa bangi

  BONDIA mstaafu raia wa Marekani, Mike Tyson ameteuliwa na Serikali ya Malawi kuwa balozi wa bangi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Kimataifa

Simulizi magaidi waliotoroka gerezani walivyonaswa kininja, njaa imewaponza

  MAGAIDI watatu walionaswa kichakani katika kijiji cha Kamuluyuni kilichoko kaunti ya Kitui nchini Kenya  baada ya kutoroka gereza la Kamiti, walijaribu kuwahonga...

Kimataifa

Amfyeka mumewe korodani kisa hamridhishi kitandani

  MWANAMKE mmoja raia wa Kenya aliyefahamika kwa jina la Karambu Meme (40) anadaiwa kumshambulia na kumkata korodani mumewe Meme Kabati (56) kwa...

Kimataifa

Rais Museveni awataka wasi ADF kujisalimisha

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni aamesema waasi wa kundi Allied Democratic Forces (ADF) linastahili kujisalimisha na kusisitiza kuwa serikali yake imejitolea kukabiliana...

Kimataifa

Sindano mbadala ARVs yaidhinishwa, wenye VVU wanachomwa mara 6 kwa mwaka

  TAASISI ya Usimamizi wa Dawa nchini Uingereza (NHS) pamoja na mashirika mengine ya msaada imeidhinisha matibabu  ya sindano mpya yenye ufanisi wa...

Kimataifa

Kimbembe wafungwa waliotoroka, saba wasimamishwa, donge la Sh bilioni 1 latajwa

  SIKU chache baada ya wafungwa watatu wa ugaidi nchini Kenya kutoroka katika gereza lenye ulinzi mkali, askari saba waliokuwa wanalinda gereza hilo...

Kimataifa

A-Z milipuko ya bomu Uganda, sita wapoteza maisha, 33 wajeruhiwa

  JUMLA ya watu sita wameripotiwa kupoteza maisha nchini Uganda na wengine 33 kujeruhiwa vibaya kutokana na milipuko ya bomu iliyotokea leo asubuhi...

Kimataifa

Meya amlilia rafiki yake milipuko ya bomu Uganda

  KATIKA milipuko miwili ya bomu iliyotokea leo asubuhi katikati mwa jiji la Kampala nchini Uganda, imedaiwa kusababisha majeruhi na vifo vya watu...

Kimataifa

Watu 400 walazwa hospitalini kwa kung’atwa na nge, watatu wafariki

  JUMLA ya watu 400 raia wa Misri wamelazwa hospitalini baada ya kung’atwa na nge na kujeruhiwa katika sehemu mbalimbali za miili yao. Pia...

KimataifaTangulizi

Milipuko miwili yaripotiwa katikati mwa jiji la Kampala – Uganda

  Milipuko miwili imetokea katikati mwa jiji la Kampala nchini Uganda na kujeruhi watu kadhaa ambao idadi yao haijajulikana. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)...

Kimataifa

Chuma’ ahukumiwa miaka 7 jela kwa maneno uchochezi YouTube

  MWANAHARAKATI na mmiliki wa chaneli ya Ishema TV katika mtandao wa Youtube, Dieudonné Niyonsenga amehukumiwa kwenda jela miaka saba na kulipa faini...

KimataifaMakala & Uchambuzi

SANKARA: Rais aliyetendwa vibaya na swahiba, alipinduliwa na kuuawa

  NI takribani miaka 34 imepita tangu kuuawa kwa aliyekuwa Rais wa Burkina Faso, Thomas Sankara. Lakini kesi juu ya mauaji yake imeanza...

Kimataifa

Rais wa zamani Afrika Kusini afariki dunia

  RAIS wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, Frederik Willem de Klerk amefariki dunia akiwa na umri...

Kimataifa

Rais Msumbiji awatimua waziri ulinzi, mambo ya ndani

  RAIS wa Msumbiji, Filipe Nyusi amemfuta kazi Waziri wa ulinzi wa nchi hiyo, Jaime Augusto Neto bila kufafanua sababu halisi za kumchukua...

error: Content is protected !!