Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Msumbiji, mkewe wakutwa na corona
Kimataifa

Rais Msumbiji, mkewe wakutwa na corona

Spread the love

 

RAIS wa Msumbiji, Filipe Nyusi na mkewe Isaura Nyusi wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona na sasa wamejitenga kwa muda. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya rais nchini humo, Rais Nyusi na mkewe wameamua kujitenga kwa kuzingatia muongozo wa afya baada ya kupatikana na virusi ingawa hawakuonesha dalili zozote.

Taarifa hiyo ilisema waliamua kufanya vipimo baada ya shughuli walizokuwa nazo siku chache zilizopita.

Kumekuwa na ongezeko la virusi vya corona katika siku za hivi karibuni nchini Msumbiji.

Nchi hiyo imethibitisha kuwa na watu 193,000 wanaougua Covid-19, huku vifo 2,031 vikirekodiwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

error: Content is protected !!