Friday , 19 April 2024

Kimataifa

Kimataifa

Kimataifa

Urusi kusitisha mashambulizi kuruhusu misaada ya kibinadamu

URUSI imesitisha mashambulizi katika miji mingi zaidi ya nchini Ukraine leo tarehe 7 Machi, 2022 ili kuruhusu raia kuondoka, Anaripoti Mwandishi wetu …(endelea)....

Kimataifa

Padre Mrusi akamatwa kwa mahubiri ya kupinga vita

KUNDI la wanaharakati huko Urusi limeripoti kwamba padre ambaye alitoa mahubiri ya kupinga vita nchini Ukraine Jumapili, amekamatwa na anatarajiwa kufunguliwa mashtaka leo...

Kimataifa

Serikali ya Urusi yawasaidia wanafunzi Watanzania kuondoka Ukrenia

Serikali ya Urusi imewaandalia ushoroba salama wa kupitia wanafunzi wa kitanzania waliokwama Ukrenia katika Chuo cha Taifa cha Sumy ambapo wataondoka kupitia Urusi....

Kimataifa

 Raia 66,000 waliokimbia Ukrenia warejea kupigania nchi yao

Wachambuzi wengi wa tukio la uvamizi wa Urusi nchini Ukrenia wamekuwa wakilinganisha ukubwa wa jeshi la Putin na lile la Zelensky. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Rais Msumbiji apangua baraza la mawaziri, ateua waziri mkuu

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, amemteua Adriano Afonso Maleiane kuwa Waziri Mkuu mpya, baada ya kulifanyia mabadiliko Baraza lake la Mawaziri wiki hii....

Kimataifa

Putin aonya vikwazo zaidi dhidi ya Urusi

  RAIS Putin ametoa onyo kwa wale wanaopinga hatua ya Urusi nchini Ukraine “kutozidisha tatizo kuwa baya zaidi” kwa kuiwekea nchi yake vikwazo...

Kimataifa

Blinken: NATO ipo tayari kama mzozo utatugusa

  KATIBU Mkuu wa Umoja wa Kujihami-NATO, Jens Stoltenberg, amekutana na Katibu Mkuu wa Marekani, Antony Blinken pamoja na mawaziri wa mambo ya...

Kimataifa

Meli ya mizigo yazama pwani ya Ukreini baada ya mlipuko

  WAMILIKI wa meli kutoka Estonia wamesema meli yao imezama katika pwani ya Ukreini baada ya kutokea mlipuko. Inaripoti BBC … (endelea). Wamiliki...

Kimataifa

Majeshi Urusi yateka mitambo ya nyuklia Ukreini, mataifa yaonya

  UKREINI imesema majeshi ya Urusi yameshambulia na kuteka mtambo wa kuzalisha nishati ya nyuklia wa Zaporizhzhia ambao ni mkubwa zaidi barani Ulaya....

Kimataifa

Ruto atema nyongo majuu, adai siasa Kenya zimekumbwa na usaliti

NAIBU Rais wa Serikali ya Kenya, William Ruto amesema kuwa kuna usaliti na vitisho vingi katika harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika...

Kimataifa

Wananchi Ukraine waingia barabarani kuzuia majeshi ya Urusi

WAKATI watu zaidi ya milioni moja wakiripotiwa kuikimbia Ukraine, wengine wameamua kujitokeza na kuandamana barabarani kuzuia uvamizi wa majeshi ya Urusi. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Urusi yataja idadi ya wanajeshi wake waliofariki, yatofautiana na Ukraine

KWA mara ya kwanza Urusi imetangaza vifo vya wanajeshi wake 498 na wengine 1,597 kujeruhiwa tangu kuanza kwa vita kati yake na Ukraine....

Kimataifa

Urusi waendelea kuteka miji muhimu Ukraine

  Vikosi vya Jeshi la Urusi vimeendelea kusonga mbele katika kushambulia na kuteka miji muhimu nchini Ukraine ambapo wanadai kuuteta mji wa Kherson...

Kimataifa

Ukraine wadai kuua wanajeshi 5,840 wa Urusi

  JESHI la Ukraine limedai kuua wanajeshi 5,840 wa Urusi tangu kuanza kwa vita kati ya nchi hizo mbili siku saba zilizopita. Anaripoti...

KimataifaMichezo

Grand P amvisha pete mchumba wake live kwenye TV

  MWIMBAJI mwenye umbo la mbilikimo kutoka nchini Guinnea, Moussa Kaba maarufu kama Grand P amemvalisha pete mpenzi wake mwenye umbo matata raia...

Kimataifa

Putin kuburuzwa Mahakama ya kimataifa (ICC)

  MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu ICC inatarajia kuanza uchunguzi kuhusu uwezekano wa uhalifu wa kivita nchini Ukraine hali ambayo inatafsiriwa kumweka matatani...

Kimataifa

Baharia Ukraine mbaroni kwa kujaribu kuizamisha boti ya bosi Mrusi

  MBAHARIA mmoja wa Ukraine amekiri kujaribu kuizamisha boti inayomilikiwa na Mkuu wa kampuni ya silaha ya serikali ya Urusi, kwa lengo la...

Kimataifa

Wanajeshi 70, raia 352 wauawa Ukraine

  TAKRIBAN wanajeshi 70 wameuawa katika shambulio la mizinga lililofanywa na wanajeshi wa Urusi katik miji muhimu ya Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Kimataifa

Wanajeshi Urusi wakwaa kisiki Kiev

  WAKATI mapigano kati ya majeshi ya Urusi na Ukraine yakiingia siku ya nne, taarifa zinaeleza kwamba Urusi imekumbana na upinzani mkali ambao...

Kimataifa

240 wauawa Ukraine, 160,000 wakimbia

  WAKATI vita kati ya Urusi na Ukraine ikiendelea kwa siku ya nne mfululizo, Umoja wa Mataifa umetoa taarifa kuwa hadi sasa jumla...

Kimataifa

Rais Biden amteua mwanamke ‘muafrika’ kuwa jaji wa mahakama ya juu

RAIS wa Marekani, Joe Biden amemteua mwanamke wa kwanza mweusi kuwa jaji wa Mahakama ya Juu kabisa nchini humo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Kimataifa

Rais Ukraine akataa ofa ya Marekani, ni ya kuikacha nchi yake

  WAKATI vita kati ya Urusi na Ukraine ikizidi kushika kasi kwa siku ya tatu mfululizo, imeelezwa kuwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky...

Kimataifa

Biden aimwagia Ukraine matrilioni kuendelea na vita

  RAIS wa Marekani, Joe Biden ametia saini mkataba wa kutoa fedha kiasi cha Dola za Marekani milioni 600 (sawa na Sh trilioni...

Kimataifa

Urusi watinga Mji Mkuu Ukraine, wananchi wakabidhiwa silaha

  WAKATI leo tarehe 26 Februari, 2022 ikiwa ni siku ya tatu tangu kuibua kwa vita kati ya mataifa Ukraine na Urusi, imeelezwa...

Kimataifa

Ukraine yadai imetengwa vita dhidi ya Urusi, ICC kuingilia kati 

  RAIS wa Ukraine, Volodomyr Zelenskky, amesema dunia imewaacha peke yake katika mapambano ya kivita dhidi ya Urusi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea)....

Kimataifa

Urusi yaivamia Ukraine

  NCHI ya Urusi, imeanzisha rasmi mapigano ya kijeshi katika mikoa ya mashariki ya Ukraine, baada ya Rais wake, Vladimir Putin kutangaza operesheni...

Habari MchanganyikoKimataifa

Malkia Elizabeth, mwanaye, mkwewe wapata Corona

LICHA ya kupata chanjo tatu za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona, janga hilo limebisha hodi katika familia ya Malkia Elizabeth wa Uingereza...

Kimataifa

NATO yaonya Urusi kushambulia Ukraine

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, Jens Stoltenberg amesema Urusi imepanga kufanya mashambulizi dhidi ya Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Kimataifa

Kijiji hiki ni marufuku kuzaa, kuzikwa

  KIJIJI cha Mafi Dove ni kijiji kinachopatikana katika mkoa wa Volta kusini mashariki mwa nchi ya Ghana. Ni kijiji chenye tamaduni za...

Kimataifa

Rais wa zamani mbaroni kwa tuhuma za biashara ya ‘unga’

Rais wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernandez amekamatwa na polisi nyumbani kwake kufuatia ombi la Marekani la kutaka kiongozi huyo apelekwa nchini...

Kimataifa

BOJI: mbwa mwenye maringo, hutumia usafiri wa umma kwenda matembezini

MBWA mmoja aliyepatiwa jina Boji, anapenda kutumia mabasi ya umma, treni na boti kusafiri katika jijini la Istanbul, Uturuki. Licha ya kwamba hakuna...

Kimataifa

Kesi ya Sankara: Blaise Compaoré kufungwa miaka 30

  OFISI ya Mwendesha Mashtaka ya Kijeshi imeomba kifungo cha miaka 30 jela dhidi ya Rais wa zamani wa Burkina Faso, Blaise Compaoré...

Kimataifa

DR Congo yashtukia njama ya kuitikisa serikali

  WACHUNGUZI kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema wanao ushahidi wa kutosha unaoonyesha hatua kwa hatua namna maadui wanavyotaka kuiyumbisha nchi hiyo....

KimataifaMichezo

Senegal yatangaza mapumziko baada ya kushinda Afcon

  RAIS wa Senegal, Macky Sall ametangaza leo Jumatatu tarehe 7 Februari, 2022 kuwa siku ya mapumziko kusherehekea ushindi wa timu ya taifa...

AfyaKimataifa

Mwanajeshi apandishwa cheo kwa kumsaidia mwanamke kujifungua

MWANAJESHI wa Zambia amepandishwa cheo cha kijeshi kwa kumsaidia mwanamke mjamzito kujifungua mtoto katika shamba la mahindi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mwanajeshi...

Kimataifa

Guinea-Bissau: Wengi walikufa baada ya jaribio la mapinduzi, Rais anasema

  MAPINDUZI yameripotiwa katika nchi ya Afrika Magharibi ya Guinea-Bissau, yamesababisha vifo vya maafisa kadhaa wa vikosi vya usalama, rais wake anasema. Inaripoti...

Kimataifa

Museveni ampinga Askofu kuwazuia wasichana wajawazito kurudi shuleni

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amepinga uamuzi wa Askofu wa Kanisa la Uganda la kuwazuia wasichana wajawazito kurudi shuleni baada ya shule...

Kimataifa

Kiongozi mpya Burkina Faso ahutubia taifa, aahidi utawala wa kidemokrasia

  KIONGOZI mpya wa kijeshi wa Burkina Faso ameahidi kurejea kwa utaratibu wa kawaida wa kikatiba wakati hali itakapokuwa sawa. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Kimataifa

Museveni akemea mapinduzi Burkina Faso

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ameshutumu vikali mapinduzi yaliyotekelezwa nchini Burkina Faso dhidi ya serikali ya Rais wan chi hiyo, Roch Marc...

Kimataifa

Tedros mgombea pekee, kuendelea kuongoza WHO

MKUU wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus ana uhakika wa kuiongoza taasisi hiyo kwa muhula wa pili baada ya kupigiwa...

Kimataifa

Waziri Mkuu Uingereza kikaangoni

Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anajiandaa kubaki au kutoka ofisini baada ya kukamilika kwa matokeo ya uchunguzi wa sherehe zilizofanyika katika makazi...

HabariKimataifa

Jeshi latangaza kutwaa madaraka Burkina Faso

  Jeshi nchini Burkina Faso limetangaza kutwaa madaraka baada ya kufanya mapinduzi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Tangazo hilo la jeshi limetolewa kupitia...

AfrikaKimataifa

Gavana wa Benki Uganda afariki dunia

GAVANA wa Benki ya Uganda, Emmanuel Tumusiime-Mutebile amefariki dunia akiwa nchini Kenya alipokuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya Nairobi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Kimataifa

Rais Burkina Faso awekwa kizuizini

Rais wa Burkina Faso, Roch Marc Christian Kaboré amezuiliwa katika kambi ya jeshi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kwa mujibu wa...

AfrikaKimataifa

Ruto, Mudavadi waungana uchaguzi mkuu Kenya

Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto amethibitisha rasmi kuwa chama kipya cha UDA kitaingia katika ushirikiano na chama cha Musalia Mudavadi –...

Kimataifa

Marekani yaagiza familia za wafanyakazi wa ubalozi kuondoka Ukraine

Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imeziagiza familia za wanadiplomasia na wafanyakazi wasio wa dharura kwenye ubalozi wa Marekani mjini Kiev kuondoka...

Kimataifa

Ndugai mwingine ajiuzulu Ujerumani

  MKUU wa jeshi la wanamaji nchini Ujerumani, Kay-Achim Schoenbach amejiuzulu, kufuatia matamshi yake yenye utata kuhusu mzozo wa Ukraine. Inaripoti mitandao ya...

Kimataifa

Wabunge Uingereza wamweka njiapanda waziri mkuu

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anakabiliwa na kitisho katika utawala wake baada ya wabunge kadhaa wa chama chake kupanga kuwasilisha barua za...

Kimataifa

Hofu yatanda Simba kuambukizwa Corona Afrika Kusini

  SIMBA na Puma katika bustani ya wanyama ‘zoo’ nchini Afrika Kusini huenda wameambukizwa virusi vya corona kutoka kwa wahudumu wao. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Ujumbe wa mwanawe Museveni kwa Uhuru waibua mjadala

  Mwanawe Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba amemwandikia Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ujumbe ulioibua mjadala mzito miongoni mwa mataifa hayo...

error: Content is protected !!