Thursday , 2 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Mangula amkabidhi Kinana mafaili wanaoanza harakati Uchaguzi 2025

  ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Phillip Mangula, amemtaka mrithi wake, Abdulrahman Kinana, kuwashughulikia WanaCCM wanaokiuka maadili kwa kuanza...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana akemea ukanda, ukabila CCM

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amekemea vitendo vya ukabila, udini na ukanda, ndani ya chama hicho,...

Habari za Siasa

Mzee Makamba amtaka Kinana asamehe waliompiga madongo

  KATIBU Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Yusuph Makamba, amemtaka Abdulrahman Kinana, atakapopitishwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara,...

Habari za Siasa

Hizi hapa sababu Mangula kung’atuta CCM

RAIS Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesoma barua ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti Bara, Philip Mangula, katika...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Makamba amsafishia njia Samia Uchaguzi 2025

  KATIBU Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Yusuph Makamba, amevitaka vyama vya upinzani nchini, vijitayarishe kuchuana na Rais Samia Suluhu...

Habari za SiasaTangulizi

Mrema, mkewe wakatisha hotuba ya Rais Samia Mkutano Mkuu CCM

  MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema na mkewe Doreen Kimbi, wameibua shangwe walipoingia katika Mkutano Mkuu Maalumu wa...

Habari za Siasa

#LIVE: Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, Kinana…

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinafanya mkutano mkuu maalum leo Ijumaa tarehe 1 Aprili 2022 katika ukumbi wa Jakaya...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yataja sababu za kumsamehe Membe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kimemsamehe aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu yake Taifa (NEC), Benard Membe na Abdallah Diwani, kwa kuwa wamekiri makosa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua baraza la mawaziri

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Alhamis tarehe 31 Machi 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza lake la mawaziri. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Makala & UchambuziTangulizi

Miradi kichefuchefu inayoitia doa Serikali Kinondoni

UKIMYA na usiri umeendelea kutawala kuhusu kukwama kwa miradi mitatu ya Halmashauri ya Kinondoni inayogharamiwa kwa vyanzo vya mapato ya ndani na kuitia...

Habari za SiasaKimataifa

Bunge DRC lapiga kura kutokuwa na imani na Waziri

  BUNGE la Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo , limepiga kura kumuondoa Waziri wa Uchumi Jean Marie Kalumba , katika wadhifa wake Jumatano...

Habari za SiasaTangulizi

Membe asamehewa, arejeshwa CCM

BAADA ya kusota ‘benchi’ kwa muda wa mwaka mmoja na ushee, Kada aliyejipatia umaarufu kisiasa ndani ya CCM na baadaye ACT Wazalendo, Bernard...

Habari za SiasaTangulizi

Mangula ang’atuka CCM, Kinana arejea

HATIMAYE Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula ameng’atuka kwenye nafasi hiyo aliyoihudumu kwa miaka muda wa miaka 10. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Prof. Mkumbo aiomba Serikali ipanue Barabara ya Dar-Dodoma

MBUNGE wa Ubungo, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo, ameiomba Serikali ifanye upanuzi wa Barabara ya kutoka Dar es Salaam...

HabariTangulizi

Simbachawene asema ‘flyover’ bila haki “tunajenga taifa katili”

  WAZIRI wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, George Simbachawene, amesema nchi ikijengwa miundombinu ya madaraja na barabara za juu ‘Fly Over’, bila...

Makala & Uchambuzi

Tangulia Profesa Honest Ngowi, utakumbukwa daima

NILIPATA mshtuko mkubwa kupokea taarifa mbaya ya kifo cha Profesa Honest Ngowi kilichotokana na ajali ya gari kutoka kwa mwanachama mwenzetu wa kundi...

Habari za Siasa

Mbowe aitaka Serikali kufanyia kazi hukumu ya EACJ

  MWENYEKITI wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema), Freeman Mbowe, ameiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ifanyie kazi hukumu iliyotolewa na...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa ailaumu Serikali kuficha kuugua kwa Hayati Magufuli

  BALOZI Mstaafu,Dk. Wilbrod Slaa, ameilaumu Serikali kwa kuchelewa kutoa taarifa za kuugua wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli,...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe waishinda Serikali ya Tanzania, EACJ yatoa maagizo

  MAHAKAMA ya Haki ya Afrika Mashariki (EACJ) imeitaka Serikali ya Tanzania kurekebisha vifungu vya mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya...

Habari za Siasa

“Jeshi la Magereza haliongei lugha moja”

  KUTOKUWA na ushirikiano miongoni mwa asktrai na maafisa wa Jeshi la Mageresha kumetajwa kama kikwazo cha kupiga hatua katika maendeleo ya jeshi...

Habari za Siasa

Rais Samia ayapa majeshi changamoto mpya

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema anataka mwelekeo mpya wa majeshi kuachana na uzalishaji mali na kuwekeza nguvu zaidi katika majukumu yao. Anaripoti...

Habari za Siasa

Samia ataka askari waliopandishwa vyeo kurudi kusimamia wafungwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hatotoa ajira mpya kwa askari wa jeshi la Magereza na kuagiza waliopandishwa vyeo kurudi kusimamia wafungwa. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mbowe atinga kortin, hukumu kutolewa leo

  MAHAKAMA ya Haki ya Afrika Mashariki leo Ijumaa tarehe 25 Machi 2022 itatoa hukumu ya kesi juu ya uhalali wa Mabadiliko ya...

Habari za Siasa

Tanzania kuisaidia Msumbiji kukomesha ugaidi

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Tanzania itandelea kuwa mstari wa mbele kuisaidia nchi ya Msumbiji katika kukabiliana na vitendo ya...

HabariTangulizi

Hofu yatanda Ngorongoro, madiwani wahojiwa CCM

  HOFU imetanda kwa madiwani na watetezi wa haki za binadamu waishio kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, baada ya baadhi ya madiwani kuhojiwa na...

HabariTangulizi

Samia: Uzinduzi daraja Tanzanite ni kumuenzi Magufuli

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema uzinduzi wa daraja jipya la Tanzanite lililopo jijini Dar es Salaam anauchukulia kama sehemu ya kumuenzi mtangulizi...

HabariTangulizi

Mke wa Mrema huyu hapa, aanika utajiri wake, asema hajafuata mali

DOREEN Kimbi, mke wa mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Augustino Lyatonga Mrema amesema umri baina yake na mumewe mwenye miaka 77 si tatizo. Anaripoti...

HabariTangulizi

Rais Samia akwamisha kongamano la TCD

  Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimesogeza mbele kongamano la haki, amani na maridhiano, hadi tarehe 4 na 5 Aprili 2022, sababu zikitajwa...

HabariMichezo

Kim Poulsen akoshwa na bao la Samatta

  KOCHA wa Timiu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Kim Polusen ameonekana kukoshwa na bao la pili kwenye mchezo wa kimataifa wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Shoo amaliza mgogoro Konde, uchaguzi wafanyika, aliyeng’olewa agoma

MKUTANO Mkuu wa dharura ulioitishwa na kiongozi Mkuu wa kanisa la Kiinjiri la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo umemuondoa kwenye nafasi yake...

HabariMichezo

Waziri Ndumbaro ataja faida za klabu ya Simba kutangaza utalii

  WAZIRI wa Maliasiri na utalii Dkt Damas Ndumbalo ameimwagia sifa klabu ya Simba katika jitihada zao za kutangaza utalii na kuefunguka juu...

Habari za Siasa

Samia azitaka TBA, NHC, Watumishi House kushirikisha sekta binafsi

  KUFUATIA ombi la Wakala wa Majengo Tanzania kutaka Serikali kuiwezesha kupata fedha za kuendeleza maeneo ya kota yaliyotwaliwa na Serikali Kuu kutoka...

Habari za Siasa

Serikali yawapa unafuu wakaazi Magomeni Kota

  SERIKALI imewapa unafuu wakaazi wa nyumba mpya za Magomeni Kota kwa kuwawezesha kununua nyumba hizo kwa mfumo wa mpangaji mnunuzi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Wanaosema miradi haitaendelezwa wana upeo mdogo: Samia

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema watu wanaofikiri kwamba miadi iliyoachwa na mtangulizi wake haitaendelezwa wana upeo mdogo wa kufikiri. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

TBA yaomba fedha kuendeleza maeneo yote ya kota

  WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) imeiomba Serikali kupitia Wizara ya ujenzi na uchukuzi kuendelea kutoa fedha za kuendeleza maeneo mengine yaliyorejeshwa Serikali...

Habari za Siasa

DPP amwacha huru Abdul Nondo

  MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania, Divisheni ya Iringa, imeifuta rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kupinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu...

Habari za Siasa

Rais Samia aeleza mafanikio kuanzishwa RUWASA

  RAIS Samia amesema kumekuwepo na mafanikio makubwa katika sekta ya maji baada ya kuanzishwa kwa Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira Vijijini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ripoti ya uchunguzi sakata la Mto Mara yapingwa

SERIKALI ya Tanzania imeombwa kufanya upya uchunguzi upya ili kubaini chanzo cha kuchafuka kwa maji ya Mto Mara na kufa kwa samaki mtoni...

Habari MchanganyikoTangulizi

DPP amng’ang’ania Abdul Nondo

MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania, Kanda ya Iringa, kesho Jumatano, tarehe 23 Machi 2022, inatarajia kusikiliza rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP)...

Habari za Siasa

Samia ‘aikopesha’ Dawasa Sh 500Mil. kusambaza maji Chalinze

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema ametoa Sh. 500 Milioni kwaajili ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) kuanza kusambaza...

Habari za Siasa

Mabadiliko Katiba, tume huru: LHRC watoa mapendekezo 14

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimetoa mapendekezo 13 kwa Kikosi Kazi cha Kiratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia...

Habari za SiasaTangulizi

TCD kujadili mgomo wa Chadema

  KITUO cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimesema kitajadili sababu za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kugoma kushiriki kongamano lake la amani, linalotarajiwa...

Habari za Siasa

CCM wamtega Dk. Shein kumwachia Rais Mwinyi uongozi

  WAKATI chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikielekea kufanya mkutano mkuu maalum tarehe 1 Aprili 2022, baadhi ya wanachama wa...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba mpya, Tume huru zavigawa vyama vya siasa

  MJADALA wa nini kianze kupatikana kati ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, umevigawa vyama vya siasa, baada ‘ya kutofautiana misimamo...

Habari za Siasa

Ubinafsi, kutoaminiana vyatajwa mkwamo maridhiano kisiasa nchini

  KIKOSI kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya siasa za vyama vingi imesema ubinafsi na kutoaminiana ni miongoni mwa changamoto...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kuzungumza na Chadema

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema atafanya mazungunzo na vyama vya siasa ambavyo havishiriki katika masuala mbalimbali ya kuamua mustakabali wa...

Habari za Siasa

Rais Samia achomoa ruzuku vyama vyote vya siasa

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameonesha kutokukubaliana na mapendekezo ya Kikosi Kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya...

Habari za Siasa

Mkewe Mbowe aeleza siri kanisa walilofungia ndoa

  MKE wa Mwenyekiti wa Chadema, Freema Mbowe, Dk. Lilian Mtei amesema Baba mkwe wake Aikael Mbowe ndiye aliyekuwa kiongozi wa ujenzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe ataja kiapo chake na Rais Samia

MWENYEKITI wa Chama cha Demokraria na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kusimama katika misingi ya haki na ukweli ndilo agano aliloweka kati yake...

Makala & Uchambuzi

Ni mwaka mmoja wa uchumi bila vyuma kukaza

MWAKA mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan madarakani, unawezakuwa ni mwaka wa uchumi ambao hauhitaji sana takwimu kuelezea ukuaji wake, bali ni kwa...

error: Content is protected !!