Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa #LIVE: Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, Kinana…
Habari za Siasa

#LIVE: Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, Kinana…

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinafanya mkutano mkuu maalum leo Ijumaa tarehe 1 Aprili 2022 katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma…(endelea). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Mkutano huo unaongozwa na Mwenyekiti wake ambaye ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambao tayari umekwisha kuanza na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali wa ndani na nje ya Taifa hilo.

Lengo la mkutano mkuu huo ni kufanya marekebisho ya Katiba ya CCM yam waka 1977 toleo la mwaka 2020 pamoja na kufanya uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti wa CCM- Bara ambapo mgombea ni mmoja pekee, Abdulrahman Kinana.

Kinana anatarajiwa kurithi nafasi ya Philip Mangula ambaye jana Alhamisi, mbele ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM alitangaza kung’atuka katika nafasi hiyo.

Fuatilia mkutano huo kupitia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa mbalimbali

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

error: Content is protected !!