Categorizing posts based on type of post
ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameeleza sababu 10 za kuking’oa Chama cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020....
By Regina MkondeMarch 14, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo, kinachotimiza miaka mitano tangu kuanzishwa, leo tarehe 14 Machi 2020 kinaanza mkutano wake mkuu wa pili kwenye ukumbi wa Mlimani...
By Regina MkondeMarch 14, 2020ISMAIL Jussa, mgombea nafasi ya Uongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ametumia vyema mdahalo wa kuwapima wagombea wa chama hicho, kuonesha udhaifu wake,...
By Kelvin MwaipunguMarch 13, 2020MAALIM Seif Shariff Hamad, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amechuana vikali na mwanasiasa nguli, Nyagaki Shilungushela katika mdahalo wa kupima wagombea wa uenyekiti...
By Faki SosiMarch 13, 2020ASKARI wa Jeshi la Magereza katika gereza la Segerea, wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), walikwenda...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2020MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini, aligoma kutoka jela. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza na wanahabari katika Makao...
By Kelvin MwaipunguMarch 13, 2020RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kuchukua tahadhari kutokana na kusambaa kwa virusi vya Corona. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Akizungumza kwenye uzinduzi wa...
By Faki SosiMarch 13, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekamilisha mchakato wa kumtoa kifungoni mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, aliyekuwa anatumikia kifungo cha miezi mitano kwenye Gereza...
By Hamisi MgutaMarch 13, 2020DUNIA inatikisika, virusi vya ugonjwa wa Corona vimeendelea kusamba na kusababisha hofu kubwa sambamba na vifo. Anaandika Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Shughuli za uzalishaji...
By Regina MkondeMarch 13, 2020RAIS John Pombe Magufuli, ametoa kiasi cha Sh. 38 milioni kati ya Sh. 40 milioni, zinazotakiwa kulipia faini ya Mbunge wa Iringa Mjini...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2020CHAMA cha ACT – Wazalendo kitaendelea kupigania umoja na mshikamano ndani na nje ya chama kwa lengo la kuunga mkono mikakati ya kuirudisha...
By Jabir IdrissaMarch 12, 2020GODBLESS Lema, Mbunge wa Iringa Mjini anaweza kupishana na mwenyekiti wake (Chadema) Freeman Mbowe, iwapo Biswalo Mganga, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) ‘atamkomalia.’...
By Faki SosiMarch 12, 2020MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, tayari amevishwa gwanda na kuwa mfungwa rasmi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefanikiwa kukusanya Sh. 234 milioni, kwa ajili ya kulipa hukumu faini zaidi ya milioni 350, inayowakabili viongozi...
By Kelvin MwaipunguMarch 11, 2020CHAMA cha ACT – Wazalendo kimechangia kiasi Sh. 2 milioni fedha taslim ili kuwezesha kutolewa gerezani viongozi wa juu wa Chama cha Demokrasia...
By Regina MkondeMarch 11, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelipa hukumu ya faini ya Sh. 100 milioni katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa ajili ya...
By Regina MkondeMarch 11, 2020DAKTARI Vincent Mashinji, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mwanachama mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametuma salamu...
By Hamisi MgutaMarch 11, 2020MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imesema hukumu yake juu ya kesi ya jinai Na. 112/2018 iliyokuwa ikiwakabili viongozi waandamizi...
By Faki SosiMarch 11, 2020VIRUSI vya Corona vinaendeleo kuitesa dunia, tayai imesababisha madhara makubwa katika nchi mbalimbali duniani. Anaandika James Iyambogo, Mwanza … (endelea). Ugonjwa huo husambaa...
By Masalu ErastoMarch 11, 2020MAISHA ya kutengwa, kuzomewa na hata kupuuzwa anayopita Dk. Vicent Mashinji, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), yanapata faraja...
By Faki SosiMarch 11, 2020ZAIDI ya Tsh. 108,262,000 tayari zimekusanywa ndani ya saa 12, tangu faini ya Freeman Mbowe na wenzake kuwa wazi jana tarehe 10 Machi...
By Regina MkondeMarch 11, 2020VIONGOZI wanane wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiongozwa na mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, wamenusurika kufungwa gerezanibaada ya kuamriwa kulipa faini ya fedhataslimu...
By Regina MkondeMarch 10, 2020WAKATI kesi Na. 112/2018 ya uchochezi inayowakabili Freeman Mbowe na viongozi wenzake wa Chadema, Jeshi la Polisi limeendesha zoezi la kuwasomba wafuasi wa...
By Faki SosiMarch 10, 2020DAKTARI Vincent Mashinji, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kabla ya kujiunga Chama cha Mapinduzi (CCM), amejikuta kwenye wakati...
By Hamisi MgutaMarch 10, 2020VURUGU, vuta nikuvute na kurushiana maneno vimetawala kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakati wa kusikiliza kesi ya viongozi...
By Faki SosiMarch 10, 2020WASWAHILI husema ‘ukiumwa na nyoka, ukigusa jani unashtuka,’ hiki ndicho kinachomtokea Bernard Membe, Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali ya awamu ya...
By Regina MkondeMarch 10, 2020IKIWA zimesalia saa kadhaa kwa viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuhukumiwa katika Kesi ya Jinai Na. 112/2018, inayowakabili kwenye...
By Faki SosiMarch 10, 2020ABDUL Nondo, Mwanaharakati wa haki za binadamu nchini, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeMarch 10, 2020PHILIP Mangula, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, amenyweshwa sumu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa zaidi zinaeleza, Mangula...
By Regina MkondeMarch 9, 2020KAULI ya Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwamba chama kinachoondoka madarakani wakati kina dola ni uzembe, imetibua wengi....
By Regina MkondeMarch 9, 2020ZIARA za baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani kuteta na Rais John Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam, zimemuibua Freeman...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2020MIJADALA kwenye mitandao ya kijamii, imekoleza tuhumadhidi ya Mwenyekiti wa taifa wa chama cha NCCR- Mageuzi, James Francis Mbatia, kwamba anatumika na Chama...
By Yusuph KatimbaMarch 6, 2020WAKATI Rais John Magufuli akiahidi uchaguzi huru na haki, Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), anashangazwa namna vyama vilivyo...
By Faki SosiMarch 6, 2020MWENYEKITI wa chama cha NCCR- Mageuzi, James Mbatia, aliyeko mkoani Mbeya, ameanza kwa kishindo ziara yake mkoani humo, kufuatia maelfu ya watu kujitokeza...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2020ZIARA ya James Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi imeingia shubiri mkoani Mbeya baada ya polisi kuvamia na kuzuia mkutano wake wa...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2020BERNALD Membe, aliyekuwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali ya awamu ya nne, amekaribishwa ndani...
By Kelvin MwaipunguMarch 4, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema, ushirikiano ndio njia muhimu ya kushinda kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka...
By Faki SosiMarch 4, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameeleza kwamba msimamo wake katika siasa unamweka mbali na ‘wanaotongoza’ wanasiasa ili kujiunga...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, yupo kwenye wakati mgumu jimboni kwake Hai, Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 4, 2020JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi amesema amekutana na Rais John Magufuli na kumuuliza, hatima ya Tanzania. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...
By Hamisi MgutaMarch 3, 2020BERNARD Membe, Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nje katika serikali ya awamu ya nne, amewekewa ngumu kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
By Faki SosiMarch 3, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ametinga Ikulu, jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Rais John Magufuli....
By Mwandishi WetuMarch 3, 2020MKAKATI ulioondeshwa na madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutaka kumng’oa Isaya Mwita, Meya wa Jiji la Dar es Salaam sasa umehamia kwa...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2020GODBLESS Lema, Mbunge wa Arusha Mjini amedai kwamba, anatafutwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Lema ametoa taarifa hiyo leo...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2020AHMED Ngwali, Mbunge wa Wawi mkoani Kusini Pemba kupitia Chama cha Wananchi (CUF), amejivua uanachama na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 2, 2020SIKU mbili baada ya Bernald Membe kusema, uamuzi wa kumkabili Dk. John Magufuli kwenye urais ndani ya chama hicho, ndio uliomfukuzisha, Dk. Bashiru...
By Hamisi MgutaMarch 2, 2020DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amewataka wanachama wa CCM kutosherehekea uamuzi huo na kuwataka kuweka akiba ya maneno,...
By Regina MkondeMarch 2, 2020CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimeonesha wasi wasi wake juu ya harakati za Maalim Seif Shariff Hamad, za kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2020LENGAI Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, Kilimanjaro anatajwa kama mtu mnyanyasaji kwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu wa...
By Mwandishi WetuFebruary 28, 2020