Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbowe akamatwa jimboni kwake
Habari za Siasa

Mbowe akamatwa jimboni kwake

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Chadema Kanda ya Kaskazini kupitia ukurasa wake wa Twitter, Mbowe amekamatwa leo tarehe 28 Februari 2020, baada ya kumaliza kufanya mkutano wa hadhara jimboni kwake.

Taarifa ya kanda hiyo imedai kuwa, Polisi hawakueleza sababu za kumkamata Mbowe.

Mbowe alifanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Nkoromu kwenye Kata ya Masama, Wilayani Hai.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!