Categorizing posts based on type of post
ISMAIL Jussa, Mwenyekiti wa Kamati ya Mikakati, Usimamizi na Ufuatiliaji ya Chama cha ACT-Wazalendo, anataka nafasi aliyonayo Zitto Kabwe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2020WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameagiza kampuni za upangaji na upimaji kutochukua kazi mpya kabla ya kumaliza kazi...
By Hamisi MgutaFebruary 24, 2020SAFARI chungu ya Erick Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi kitaifa na kimataifa, katika kesi ya uhujumu uchumi imetamatika leo tarehe 24 Februari...
By Faki SosiFebruary 24, 2020TAARIFA ya matokeo ya mahojiano yaliyowahusu Bernard Membe, Abdulrahman Kinana na Mzee Yusuph Makamba, inayosubiriwa kwa hamu kubwa nadani na nje ya Chama...
By Danson KaijageFebruary 24, 2020SIKU sita baada ya Dk. Vicent Mashinji, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM),...
By Faki SosiFebruary 24, 2020KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amewaaminisha wakazi wa Jimbo la Ndanda, mkoani Mtwara kwamba, hilo litarejea CCM. Anaripoti...
By Mwandishi WetuFebruary 24, 2020FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewaomba viongozi wa dini kuliombea taifa, ili liwe salama kuelekea Uchaguzi Mkuu wa...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2020KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeteua makatibu wa kanda sita kati ya kanda 10 za chama hicho. Anaripoti Kelvin...
By Kelvin MwaipunguFebruary 22, 2020DAKTARI Benjamin Mkapa, Rais wa Awamu ya Tatu, amewataka watu wanaoeleza mabaya yake, waseme pia mazuri aliyofanya katika uongozi wake. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2020KUMEBAINIKA makosa mengi ya kijinai katika mkataba wa ununuzi wa vifaa vya zimamoto ambao ulisababisha Rais Dk. John Magufuli kuwafukuza kazi watendaji akiwemo...
By Regina MkondeFebruary 21, 2020SIKU moja baada ya wadhamini wa Tundu Lissu katika kesi ya tuhuma za uchochezi kupitia gazeti la MAWIO, kuiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi...
By Regina MkondeFebruary 21, 2020UZEMBE na kubebana ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ndio unakibomoa chama hicho kwa kiwango kikubwa. Anaripori Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeFebruary 21, 2020OMBI la kutaka mahakama itoe hati ya kukamatwa Tundu Lissu, mshitakiwa wa nne katika kesi ya tuhuma za uchochezi inayowakabili pia wahariri wawili...
By Faki SosiFebruary 21, 2020KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amechukua fomu ya kugombea ukatibu mkuu wa chama hicho....
By Hamisi MgutaFebruary 20, 2020APRILI Mosi mwaka huu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam itaamua kama Halima Mdee, Mbunge wa Kawe ana kesi ya...
By Faki SosiFebruary 20, 2020TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeongeza siku tatu katika Zoezi la Uboreshaji Daftari la Wapiga Kura katika mkoa wa Dar es Salaam,...
By Hamisi MgutaFebruary 20, 2020WADHAMINI wa Tundu Lissu, leo tarehe 20 Februari 2020, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jiijini Dar es Salaam kutoa hati ya kumkamata...
By Faki SosiFebruary 20, 2020RAIS John Magufuli amemuagiza Kapteni Mstaafu , George Mkuchika, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, kuajiri madaktari...
By Regina MkondeFebruary 20, 2020WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani amemtaka mkandarasi wa Kampuni ya KEC International Limited, anayetekeleza mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza...
By Danson KaijageFebruary 20, 2020UIMARA wa Chama cha Demokrasia (Chadema), ulioonekana kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015, umechangiwa na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa...
By Regina MkondeFebruary 19, 2020DAVID Mwashilindi, Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya (Chadema) amesema, katika kuhakikisha maendeleo yanawafikia wananchi, kunahitajika uwajibikaji wa pamoja kati ya wanasiasa na...
By Danson KaijageFebruary 19, 2020MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, wamemtimua mwenzao kikaoni kwa kutovaa sare za chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2020MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Moshi Vijijini, Anthony Komu “amesema, ikiwa Chadema itamshinda, atajiunga na chama kingine...
By Hamisi MgutaFebruary 19, 2020WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kikiugulia maumivu ya kumpoteza Dk. Vicent Mashinji, aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, leo Boniface Mwambukusu...
By Kelvin MwaipunguFebruary 19, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimejibu mapigo baada ya aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Vincent Mashinji kuhamia Chama Cha Mapinduzi...
By Hamisi MgutaFebruary 19, 2020ZITTO Kabwe ameeleza dhamira yake ya kutaka kupambana na Dk. John Magufuli, katika kugombea urais kwenye uchaguzi wa Oktoba mwaka huu. Anaripoti Faki Sosi,...
By Faki SosiFebruary 18, 2020KIASI cha fedha kilichokopwa nje ya nchini na Rais John Magufuli kwa miaka minne, kimezidi kile cha Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete kwa miaka...
By Regina MkondeFebruary 18, 2020ALIYEKUWA swahiba mkuu wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Vicenti Mashinji, ameondoka ndani ya chama...
By Regina MkondeFebruary 18, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amekutwa na kesi ya kujibu. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Umauzi huo umetolewa...
By Faki SosiFebruary 18, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuongeza muda wa zoezi la uboreshaji daftari la wapiga kura,...
By Regina MkondeFebruary 18, 2020HOFU anayojengewa Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ndani na nje ya Bunge haimyumbishi. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Anaripoti...
By Faki SosiFebruary 18, 2020MATUMAINI ya Erick Kabendera, mwandishi wa habari wa kimataifa wa Tanzania anayeshitakiwa kwa madai ya uhujumu uchumi, kuungana na familia yake yamewekwa njia...
By Faki SosiFebruary 17, 2020FEDHA za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), alizotumbua Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam mwaka 2012, ametakiwa kuzirejesha. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2020HATMA ya Mazungumzo kati ya Erick Kabendera na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kufahamika jumatatu tarehe 17 Februari 2020. Anaandika Faki Sosi, Dar es Salaam...
By Hamisi MgutaFebruary 16, 2020CECIL Mwambe, Mbunge wa Jimbo la Ndanda, amejiuzulu wadhifa huo baada ya kukihama chama chake cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), na kurejea katika...
By Kelvin MwaipunguFebruary 15, 2020CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimeweka wazi kwamba, kitamfukuza uanachama mtu atakayeonyesha kiburi dhidi ya sheria, misingi na kanuni za chama hicho. Anaripoti Mwandishi...
By Regina MkondeFebruary 15, 2020DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amewatuhumu baadhi ya wateule wa Rais John Magufuli, kwamba hawana uaminifu, kitendo kinachopelekea...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2020BARAZA la taifa la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo ((BAVICHA), jana Alhamisi, tarehe 13 Februari 2020, liliitisha mkutano na waandishi wa...
By Mwandishi MaalumFebruary 14, 2020SIKU moja baada ya Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuketi jijini Dar es Salaam, Bernard Membe amesema, ‘anasikilizia’ uamuzi wa...
By Mwandishi WetuFebruary 14, 2020MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaosaka ubunge na udiwani kupitia chama hicho, wameanza kumimina fedha mtaani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuFebruary 13, 2020IKIWA imebaki miezi takribani minane kuingia kwenye uchaguzi mkuu, baadaye mwaka huu, hitajio la Tume Huru ya Uchaguzi linazidi kushika kasi. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeFebruary 13, 2020MSIMAMO wa Rais John Magufuli, kwamba hatosaidia watakaokumbwa na mafuriko, umepingwa na James Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeFebruary 13, 2020KAMATI Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), imetoa siku saba kwa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu, kukamilisha taarifa ya mahojiano ya Bernard...
By Regina MkondeFebruary 12, 2020HATUA ya Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo kudai kuundiwa zengwe la kuhusishwa na utakatishaji fedha, limekishtua chama hicho. Anaripoti Faki...
By Faki SosiFebruary 12, 2020MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini, amesema kila baada ya miezi mitatu, hufanya utafiti kubaini idadi ya wananchi wanaomuunga mkono jimboni humo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuFebruary 12, 2020RAIS wa Marekani, Donald Trump anataka dunia itambue, kwamba anashughulika kutatua mgogoro kati ya Israel na Palestina. Anaandika Mwandishi Wetu… (endelea). Harakati na...
By Mwandishi WetuFebruary 12, 2020MAALIM Seif Shariff Hamad amepokea kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi huku akitoa neno kwamba “wala hakuna sababu ya msingi ya kutolewa kitambulisho kipya.” Anaripoti...
By Jabir IdrissaFebruary 11, 2020RAIS John Magufuli ameweka msisitizo kuwa, serikali haitatoa msaada wa aina yoyote kwa watu waliojenga mabondeni, pindi watakapopata maafa ya mafuriko. Anaripoti Hamis Mguta,...
By Hamisi MgutaFebruary 11, 2020DANIEL Maleki (30), aliyechana kitabu kitukufu cha Qur’an, wilayani Kilosa katika Mkoa wa Morogoro, amefukuzwa kazi rasmi leo tarehe 11 Februari 2020. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeFebruary 11, 2020FREDERICK Sumaye, Waziri Mkuu Mstaafu ameeleza sababu za kurejea CCM leo tarehe 10 Februari 2020, kwamba Chadema walikuwa wamkidharua. Anaripoti Faki Sosi, Dar...
By Faki SosiFebruary 10, 2020