Wednesday , 8 May 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Kashfa ya ufisadi yamng’oa Lugola

KASHFA inayohusu mkataba wa ununuzi wa vifaa vya kutumika ndani ya Jeshi la Magereza nchini imechochea kujiuzulu kwa Waziri Kangi Lugola. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Chadema: Wimbo wa CCM watibua mahakama

WIMBO unaotumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye shughuli zake za kampeni, unashawishi wananchi kuwanyima kura wapinzani. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Wadhamini wamgeuka Tundu Lissu

YAMEWAFIKA shingoni. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wadhamini wa Tundu Lisuu, Robert Katula na Ibrahim Ahmed ‘kuja juu,’ kutokana na kauli ya mdhaminiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

TCRA: Tumezima laini 975,041, wengine wanafuata

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imefunga laini za simu 975,041, zisizosajiliwa kwa mfumo wa alama ya vidole. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu: Nawahurumia wadhamini wangu

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema anawahurumia wadhamini wake katika kesi ya uchochezi inayomkabili. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto alianzisha Kigoma, wenyeviti CCM ‘walia njaa’

WAJUMBE wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, wamegoma kuwatambua wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Siwezi kuondoka Jiji kinyume na Kanuni – Meya Isaya

ISAYA Mwita Charles, ameendelea kusisitiza kuwa yeye bado ni meya halali wa Jiji la Dar es Salaam na kuingeza, “nitaendelea kuhudhuria na kuongoza...

Habari za SiasaTangulizi

Wapinzani kujitoa uchaguzi serikali za mitaa, kwaitesa CCM

HATUA ya vyama nane vya upinzani kujitoa katika kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019, ilishtua Chama cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea amng’ang’ania Mkurugenzi wa Jiji

MBUNGE wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea, amemtuhumu mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Spora Liana, kutumia madaraka yake vibaya na kwa maslahi...

Habari za SiasaTangulizi

Vurugu zatawala mkutano wa Jiji la Dar es Salaam

MKUTANO wa Kamati ya Fedha na Uongozi wa halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, umemalizika baada ya kufanyika chini ya mtutu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Vita ya CCM vs Membe, Makamba, Kinana bado nzito

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kwamba, kinashughulikia agizo la Halmashauri Kuu yake ya Taifa, la kuwahoji makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho, Abdulrahman...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata Meya Dar: CCM waufyata

WAJUMBE wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wameshindwa kuendelea na mkakati wao...

Habari za SiasaTangulizi

Selasini ajiuzulu bungeni

JOSEPH Roman Selasini, Mbunge wa Rombo (Chadema), amejiuzulu nafasi ya unadhimu wa Kambi ya Upinzani bungeni. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Selasini amechukua hatua...

Habari za SiasaTangulizi

Uozo sakata la Meya Dar waanikwa

UAMUZI wa madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutaka kumsimamisha kazi Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita umeibua uozo ndani...

ElimuTangulizi

Matokeo kidato cha Pili, Nne haya hapa

BARAZA la Mitihani nchini (Necta), limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la nne, Kidato cha Pili na Nne leo tarehe 9 Januari 2020. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yatangaza kumuondoa Meya wa Dar

MKAKATI wa kumuondoa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita (Chadema), umeshindwa kufanikiwa baada ya kukosekana 2/3 ya madiwani wanaotakiwa, hata...

Habari za SiasaTangulizi

Mke wa Kabendera akimbia nyumba

LOY Kabendera, mke wa Erick Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi, anayeshikiliwa katika gereza la Segerea, jijini Dar es Salaam, ametoweka kwa hofu...

Habari za SiasaTangulizi

Meya Isaya akalia kuti kavu

MEYA wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita (Chadema), amekalia kuti, kufuatia hatua ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), “kumsukia zengwe,”...

Tangulizi

Fatma Karume ampa ‘dawa’ JPM

FATMA Karume, mwanasheria wa Mahakama Kuu na Rais Mstaafu wa Chama cha Wanasheria nchini (TLS) amesema, ili mahakama ziwe huru, watendaji wake hawapaswi...

Habari za SiasaTangulizi

Fatma Karume: Siku ya kufa ni moja, sitishwi

MWANAHARAKATI na mkosoaji mkubwa wa serikali ya awamu ya tano, Fatma Karume amesema, vitendo vya utekaji wanavyofanywa dhidi ya wanaharakati wengine, havimtishi wala...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wezi wapora vifaa vya NIDA, wawili wanaswa

WATU wasiojulikana wametoweka na vifaa vya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), wilayani Arumeru, Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Watu hao wameiba kompyuta mpakato (laptop) mbili,...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kumweka kikaangoni Mwita Waitara

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mara kimesema kitamuita kwenye Kamati ya Maadili, Mwita Waitara, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, ili kujibu tuhuma za...

Tangulizi

Ujumbe mzito wa Kabendera baada ya kuzuiwa kumzika mama yake

ERICK Kabendera, Mwanahabari aliyeko Mahabusu katika Gereza la Segerea jijini Dar es salaam, ametoa ujumbe mzito kufuatia kuzuiwa kutoa heshima za mwisho, kwa...

Tangulizi

Erick Kabendera, azuiwa kumzika mama yake mzazi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeyatupilia mbali, maombi ya mwandishi wa habari za uchunguzi nchini, Erick Kabendera, kushiriki msiba...

Tangulizi

Kabendera aimwagia chozi mahakama

HATIMA ya mwandishi wa habari nchini, Erick Kabendera, kushiriki msiba wa mama yake mzazi, Mwalimu Verdiana Mujwahuzi, itajulikana muda mfupi kutoka sasa. Anaripoti...

Tangulizi

Zitto, Maalim Seif waeleza machungu ya Rais Magufuli

MTINDO wa uongozi wa Rais John Magufuli, umeelezwa na viongozi wawili wa Chama cha ACT-Wazalendo, kwamba umesababisha machungu kwa Watanzania. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Zitto...

Tangulizi

Mama wa Kabendera afariki dunia

VERDIANA Mjwahuzi, Mama wa Erick Kabendera, Mwanahabari aliyeko mahabusu akituhumiwa kwa kosa la uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru, Zitto wachuana

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wapo ‘mtaani’ kukusanya maoni...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto ala kiapo kizito uchaguzi mkuu 2020

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo, amekula kiapo kizito kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Membe: Musiba aangukia pua

PINGAMIZI tatu zilizowasilishwa na Cyprian Musiba, katika kesi namba 220/2018 iliyofungliwa na Bernard Membe, zimetupiliwa mbali. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Assad aibuka, aacha maswali

ALIYEKUWA Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania (CAG), Prof. Mussa Assad, amekana madai kuwa alitekwa na genge lililopachikwa jina...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Shoo agonja kisu kwenye mfupa

TABIA ya utekaji, utesaji, unyongaji haki, dhuluma na kiburi inayolalamikiwa nchini, imekemewa vikali na Dk. Frederick Shoo, Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili...

Habari za SiasaTangulizi

Tito Magoti ashtakiwa kwa uhujumu uchumi

HATIMAYE mwanaharakati na Ofisa wa Elimu wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti, Theodory Faustine, wamefunguliwa mashitaka matatu likiwemo...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yampigia ‘saluti’ Prof. Safari

KAULI ya Prof. Abdallah Safari, kwamba Chadema hakiwezi kuingia Ikulu bila kupigania Tume Huru ya Uchaguzi, sasa imevaliwa njuga na chama hicho. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika Katibu Mkuu Chadema, Mbowe ampoza Heche

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemteua John Mnyika, Mbunge wa Kibamba kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe apewa mitano mingine Chadema

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ametangazwa tena kuhudumu nafasi hiyo kwa awamu nyingine. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Akitangaza...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda atibua hali ya hewa mkutano wa Chadema, kisa Rais Magufuli

JOHN Shibuda, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, amechafua hali ya hewa katika Mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe aumizwa na waliohamia CCM, awatahadharisha viongozi wapya

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amewashauri viongozi wa chama hicho, waliochaguliwa katika chaguzi zilizofanyika hivi karibuni, kutokuwa wabinafsi....

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ajitoa uchaguzi Chadema, amwachia Lissu

SAED Kubenea, Mbunge wa jimbo la Ubungo, Dar es Salaam (Chadema) amejitoa kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tanzania Bara. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

ACT- Wazalendo kimenuka, ‘swahiba wa Zitto’ aachia ngazi

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Msafiri Mtemelwa, ametangaza kujiuzulu nyazifa zake, kufuatia kuvuja kwa mazungumzo yake na mbunge wa Moshi Vijijini...

Habari za SiasaTangulizi

Wito kuhojiwa CCM; Makamba ‘nawasubiri’

KOMREDI Yusuf Makama, Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameonesha kutotikiswa na wito uliotolewa na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bernard Membe ajibu mapigo

WAZIRI wa zamani wa mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa nchini Tanzania, Benard Membe amesema, anasubiri kwa hamu, barua ya wito ya...

Habari za SiasaTangulizi

Urais wa Magufuli, wamponza Membe, hatarini kufukuzwa 

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeelekeza wanachama wake watatu, makatibu wastaafu, Yusuf Makamba na Abdulrahaman Kinana, kuhojiwa na kamati yake ya Ulinzi, Usalama  na...

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee apeta Chadema

HALIMA James Mdee, ametetea kiti chake cha Uenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) Taifa kwa kupata kura nyingi za ndio. Anaripoti Hamis...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Ya Mwanza sio woga, ajibu ‘tuhuma’

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, amelazimika kutoa ufafanuzi wa kile kilichoonekana woga, baada ya kuomba muafaka kwa Rais John Magufuli. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za SiasaTangulizi

JPM: Ndege iliyoshikwa Canada, inakuja

RAIS John Magufuli amesema, ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) Bombardier Q400, iliyoshikiliwa nchini Canada, imeachwa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akishiriki kwenye Semina...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amkingia kifua Mbowe

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ametetea uamuzi wa Freeman Mbowe, ‘kuomba maridhiano’ na Rais John Magufuli. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mfungwa agomea msamaha wa JPM

MERAD Abraham, aliyekuwa mfungwa katika gereza kuu la Ruanda, mkoani Mbeya, amegoma kutoka gerezani, kufuatia kupata msamaha wa rais. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Zitto amchambua bilionea Mufuruki, amuombea makazi mema Peponi 

MWILI wa mfanyabiashara mzalendo na ambaye amejipatia umashuhuri mkubwa nchini, Ali Abdul Mufuruki, aliyefariki dunia Jumapili iliyopita, nchini Afrika Kusini, unaagwa leo jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atumia Sherehe za Uhuru kupenyeza ujumbe kwa JPM

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Maendeleo (Chadema) amesema sababu za kushiriki katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru ni...

error: Content is protected !!