MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).
HOFU anayojengewa Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, ndani na nje ya Bunge haimyumbishi. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Anaripoti...
By Faki SosiFebruary 18, 2020MATUMAINI ya Erick Kabendera, mwandishi wa habari wa kimataifa wa Tanzania anayeshitakiwa kwa madai ya uhujumu uchumi, kuungana na familia yake yamewekwa njia...
By Faki SosiFebruary 17, 2020HATMA ya Mazungumzo kati ya Erick Kabendera na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kufahamika jumatatu tarehe 17 Februari 2020. Anaandika Faki Sosi, Dar es Salaam...
By Hamisi MgutaFebruary 16, 2020CECIL Mwambe, Mbunge wa Jimbo la Ndanda, amejiuzulu wadhifa huo baada ya kukihama chama chake cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), na kurejea katika...
By Kelvin MwaipunguFebruary 15, 2020CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimeweka wazi kwamba, kitamfukuza uanachama mtu atakayeonyesha kiburi dhidi ya sheria, misingi na kanuni za chama hicho. Anaripoti Mwandishi...
By Regina MkondeFebruary 15, 2020SIKU moja baada ya Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuketi jijini Dar es Salaam, Bernard Membe amesema, ‘anasikilizia’ uamuzi wa...
By Mwandishi WetuFebruary 14, 2020IKIWA imebaki miezi takribani minane kuingia kwenye uchaguzi mkuu, baadaye mwaka huu, hitajio la Tume Huru ya Uchaguzi linazidi kushika kasi. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeFebruary 13, 2020KAMATI Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), imetoa siku saba kwa Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu, kukamilisha taarifa ya mahojiano ya Bernard...
By Regina MkondeFebruary 12, 2020HATUA ya Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo kudai kuundiwa zengwe la kuhusishwa na utakatishaji fedha, limekishtua chama hicho. Anaripoti Faki...
By Faki SosiFebruary 12, 2020DANIEL Maleki (30), aliyechana kitabu kitukufu cha Qur’an, wilayani Kilosa katika Mkoa wa Morogoro, amefukuzwa kazi rasmi leo tarehe 11 Februari 2020. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeFebruary 11, 2020PROF. Ibrahim Haruna Lipumba, mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), ametoa masharti mazito ya “ushirikiano” kwa viongozi wenzake wa vyama vya ACT- Wazalendo...
By Regina MkondeFebruary 10, 2020IKIWA imesalia miezi michache kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu wa rais, wabunge wa madiwani wa Oktoba mwaka huu, nyota ya aliyepata kuwa Katibu...
By Mwandishi WetuFebruary 7, 2020BERNARD Membe, waziri wa zamani wa Mambo ya Nje amesema, mahojiano yake na Kamati ya Kamati ya Maadili na Usalama ya Chama Cha...
By Danson KaijageFebruary 6, 2020MFUMO wa sheria za jinai ulioko sasa nchini, hauna tofauti na sheria za kikoloni, zilizotumika kutia hofu wananchi ili watii amri za kikoloni...
By Mwandishi WetuFebruary 6, 2020BERNARD Membe, waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, leo tarehe 6 Februari 2020, anakwenda kuhojiwa na Kamati ya Kamati ya Maadili na...
By Danson KaijageFebruary 6, 2020BUNGE la Jamhuri ya Muungano, limeanza kuchunguzwa rasmi na Umoja wa Mabunge ulimwenguni (IPU), kufuatia kufunguliwa mashitaka rasmi na aliyekuwa mbunge wa upinzani...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), atarejea nchini lakini hatokuwa peke yake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2020BERNARD Membe, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, ameandikiwa barua ya wito, kwenda kuhojiwa kwenye Kikao cha Kamati Ndogo ya Udhibiti na Nidhamu...
By Regina MkondeFebruary 4, 2020RAIS wa Pili wa Kenya, Daniel arap Moi (95), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 4 Februari 2020. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea)....
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemwandikia barua Rais John Pombe Magufuli, kikimtaka kuunda tume ya mardhiano, ili kuliondoa taifa katika kile ilichoita,...
By Kelvin MwaipunguFebruary 3, 2020JOB Ndugai, Spika wa Bunge, ameanza kuchonga njia ya kumvua ubunge Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageFebruary 1, 2020KILA siku taifa linateketeza Sh. 80 milioni kulipa wakandarasi kutokana na Philip Mpango, Waziri wa Fedha kushindwa kuruhusu Shirika la Nyumba (NHC), kumalizia...
By Danson KaijageJanuary 31, 2020BAADA ya Kangi Lugola, kuwekwa chini ya ulinzi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa madai ya ufisadi, sasa kuwekwa...
By Danson KaijageJanuary 30, 2020JOHN Heche, Waziri Kivuli wa Wizara ya Madini, ameitaka serikali ieleze zilipo fedha kiasi cha Sh. 426 trilioni, zilizokwepwa kulipwa na kampuni ya...
By Danson KaijageJanuary 29, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeweka ahadi ya kutovumilia kunyongwa kwa haki, kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Anaripoti Regina Monde, Dar...
By Regina MkondeJanuary 29, 2020MBUNGE wa Bunda Mjini (Chadema), Ester Amos Bulaya, ametangazwa kuwa Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Uteuzi huo umefanywa...
By Danson KaijageJanuary 28, 2020MSIMAMO wa Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na Asasi za Haki za Binadamu za Kimataifa nchini Tanzania, umeisukuma Bodi ya...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2020CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza kusimama peke yake katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Kauli...
By Regina MkondeJanuary 27, 2020VURUGU, kutupiana maneno na kutuhumiana imekikumba Chama cha Wananchi (CUF), wakati wa maadhimisho ya miaka 19 ya mauaji ya wananchama wake viwiwani Zanzibar....
By Regina MkondeJanuary 27, 2020VURUGU zimeibuka katika Kongamano la kuwarehemu wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF, waliouawa katika maandamano ya Visiwani Zanzibar tarehe 26 na 27 Januari,...
By Regina MkondeJanuary 27, 2020BARUA ya Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, kwenda Benki ya Dunia (WB), kutaka kuzuiwa msaada wa Dola za Marekani Mil...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2020JUMA Duni Haji, mwanasiasa mkongo wa upinzani visiwani Zanzibar amesema, dhamira ya ‘kuwanusuru’ Wazanzibari haijatimia na hawatachoka. Anaripoti Jabir Idrisa, Zanzibar…(endelea). Ametoa kauli...
By Jabir IdrissaJanuary 26, 2020MINYUKANO mipya ya kuwania madaraka, imeanza kujirudia kwa kasi, ndani ya Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2020KESI ya uchochezi namba 112/2018, inayowakabili vigogo tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imekaribia kufika...
By Faki SosiJanuary 25, 2020RAIS wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) John Magufuli, ameahidi maumivu kwa vyama vya upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba,...
By Regina MkondeJanuary 24, 2020MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita leo amezuiwa kuhudhuria kikao cha Kamati ya Mipango Miji, Mazingira na Usafirishaji kilichopangwa kufanyika...
By Hamisi MgutaJanuary 23, 2020KASHFA inayohusu mkataba wa ununuzi wa vifaa vya kutumika ndani ya Jeshi la Magereza nchini imechochea kujiuzulu kwa Waziri Kangi Lugola. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeJanuary 23, 2020WIMBO unaotumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye shughuli zake za kampeni, unashawishi wananchi kuwanyima kura wapinzani. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam...
By Faki SosiJanuary 23, 2020YAMEWAFIKA shingoni. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wadhamini wa Tundu Lisuu, Robert Katula na Ibrahim Ahmed ‘kuja juu,’ kutokana na kauli ya mdhaminiwa...
By Regina MkondeJanuary 21, 2020SERIKALI kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imefunga laini za simu 975,041, zisizosajiliwa kwa mfumo wa alama ya vidole. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeJanuary 21, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema anawahurumia wadhamini wake katika kesi ya uchochezi inayomkabili. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeJanuary 20, 2020WAJUMBE wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, wamegoma kuwatambua wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2020ISAYA Mwita Charles, ameendelea kusisitiza kuwa yeye bado ni meya halali wa Jiji la Dar es Salaam na kuingeza, “nitaendelea kuhudhuria na kuongoza...
By Regina MkondeJanuary 18, 2020HATUA ya vyama nane vya upinzani kujitoa katika kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019, ilishtua Chama cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2020MBUNGE wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea, amemtuhumu mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Spora Liana, kutumia madaraka yake vibaya na kwa maslahi...
By Hamisi MgutaJanuary 17, 2020MKUTANO wa Kamati ya Fedha na Uongozi wa halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, umemalizika baada ya kufanyika chini ya mtutu wa...
By Faki SosiJanuary 16, 2020CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kwamba, kinashughulikia agizo la Halmashauri Kuu yake ya Taifa, la kuwahoji makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho, Abdulrahman...
By Regina MkondeJanuary 16, 2020WAJUMBE wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wameshindwa kuendelea na mkakati wao...
By Regina MkondeJanuary 15, 2020JOSEPH Roman Selasini, Mbunge wa Rombo (Chadema), amejiuzulu nafasi ya unadhimu wa Kambi ya Upinzani bungeni. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Selasini amechukua hatua...
By Danson KaijageJanuary 13, 2020UAMUZI wa madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutaka kumsimamisha kazi Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita umeibua uozo ndani...
By Faki SosiJanuary 12, 2020